Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ipo Siku’ yapakuliwa zaidi Mkito

mtanzania kila siku safiSiah.inddNA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa injili nchini, Goodluck Gozbert, amewashukuru mashabiki kwa kupakuwa wimbo wake unaoitwa Ipo Siku kwenye tovuti ya Mkito inayojihusisha na kuuza nyimbo za wasanii mbalimbali.
Akizungumza na MTANZANIA, Goodluck alisema kuwa hiyo ni
hatua nzuri kwake kwa sababu zipo nyimbo nyingi nzuri za Injili lakini mashabiki wameichagua yake
hivyo anawashukuru na anaomba waendelee kumuunga mkono.
“Wimbo wangu umeongoza kupakuliwa kuliko wimbo wowote
ule wa Injili,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Diamond, Mwana FA na Alikiba waongoza chart ya Mkito ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi

Diamond Platnumz, Mwana FA na Alikiba ndio wasanii ambao nyimbo zao zimepakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito. Hizi ni nyimbo 10 zilizoongoza kwenye orodha hiyo ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mtandao huo. 1.Diamond – Ntampata Wapi 2.Mwana FA f/ AliKiba – Kiboko Yangu 3.Yamoto Band – Ntakupwelepweta 4.Alikiba – Mwana 5.Joh Makini […]

 

9 years ago

MillardAyo

Nimekusanya videos 20 za Africa zilizogusa watazamaji wengi zaidi YouTUBE… TZ ipo moja tu!

Ni muziki wa Africa kwenye headlines… najua nina watu wangu wengi ambao ni mashabiki wakubwa wa muziki wa Africa na ndio maana leo nimechukuwa time ya kukusanya videos ambazo zimefanikiwa kugusa watazamaji wengi zaidi kwenye mtandao wa YouTUBE. Inawezekana zipo nyingi ila ripota wako wa nguvu amefanikiwa kuzinasa hizi 20 zenye uwingi wa viewers kuanzia […]

The post Nimekusanya videos 20 za Africa zilizogusa watazamaji wengi zaidi YouTUBE… TZ ipo moja tu! appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

Alikiba avunja rekodi ya downloads kwenye mtandao wa Mkito.com

Nyimbo mbili za Alikiba zimefanikiwa kuongoza kama nyimbo zinazopakuliwa kwa wingi katika tovuti ya Mkito.com. Wimbo uliotokea kupendwa zaidi wa Mwana ulipanda hadi nafasi ya kwanza ndani ya masaa 12 baada ya kuzinduliwa Julai 24 mwaka huu. Mpaka sasa “Mwana” ya Alikiba imeendelea kuwa wimbo uliopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa Mkito.com mwezi Mei mwaka huu. […]

 

10 years ago

Jamtz.Com

ALI KIBA AVUNJA REKODI YA DOWNLOADS KATIKA MTANDAO WA MKITO.COM

Tweet

Nyimbo mbili za Alikiba zimefanikiwa kuongoza kama nyimbo zinazopakuliwa kwa wingi katika tovuti ya Mkito.com.  Wimbo uliotokea kupendwa zaidi wa Mwana ulipanda hadi nafasi ya kwanza ndani ya masaa 12 baada ya kuzinduliwa  Julai 24 mwaka huu.Mpaka sasa “Mwana” ya Alikiba imeendelea kuwa wimbo uliopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa Mkito.com mwezi Mei mwaka huu. Wanamuziki wengine wanaofanya vizuri  ndani ya Mkito ni Fid Q, Vanessa Mdee, Young Killer, Diamond Platnumz, Linah, Rich...

 

10 years ago

Dewji Blog

Yote Uliyowahi Kutaka Kujua Kuhusu Mkito.com: Mahojiano Na Mwanzilishi Mwenza,Sune Mushendwa

Sune Mushendwa-Mkito.com

Sune Mushendwa

Kwa miaka nenda rudi, wasanii wa kitanzania walikuwa na kilio kinachofanana. Ungekaa pembeni bila kuwaona, ungedhani kutokana na mwangwi wa kilio chao, anayelia ni mmoja. Hapana. Wote walikuwa [na pengine bado wanaendelea kulia] kutokana na kunyonywa “jasho lao”.

Kimsingi “jasho” wanalolilia limekuwa ni soko na usambazaji. Kipaji unacho na watu wanakubali kazi zako. Tatizo utaifikishaje kazi yako kwa mashabiki zako? Ni wazi kwamba unahitaji msaada wa kimasoko na usambazaji....

 

10 years ago

Michuzi

Yote Uliyowahi Kutaka Kujua Kuhusu Mkito.com: Mahojiano ya Bongo Celebrity na Mwanzilishi Mwenza,Sune Mushendwa

Sune Mushendwa-Mkito.com  Sune Mushendwa
Kwa miaka nenda rudi, wasanii wa kitanzania walikuwa na kilio kinachofanana. Ungekaa pembeni bila kuwaona, ungedhani kutokana na mwangwi wa kilio chao, anayelia ni mmoja. Hapana. Wote walikuwa [na pengine bado wanaendelea kulia] kutokana na kunyonywa “jasho lao”. Kimsingi “jasho” wanalolilia limekuwa ni soko na usambazaji. Kipaji unacho na watu wanakubali kazi zako. Tatizo utaifikishaje kazi yako kwa mashabiki zako? Ni wazi kwamba unahitaji msaada wa kimasoko na usambazaji....

 

10 years ago

Mtanzania

Urais CCM kazi ipo

M????????Na Waandishi Wetu

Membe: Hakuna anayenizidi

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ametangaza rasmi nia ya kuwania urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia CCM, huku akiahidi kupambana na ufisadi na rushwa kwa kuhakikisha sheria ya makosa ya rushwa inabadilishwa.
Akizungumza mjini Lindi jana, alisema ili nchi iweze kupiga hatua, akifanikiwa kuwa rais wa awamu ya tano, atabadili sheria ya kupambana na rushwa inayosema ‘mpokeaji na mtoaji wote wana...

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU YA C.P.U IPO SOKONI SASA

FILAMU kubwa ya C.P.U Kitengo cha kutetea Watoto imeingia leo sokoni kwa njia ya mtandao, lengo likiwa ni kuwafikia watu wengi Ulimwenguni, hivyo kwa utaratibu wa kampuni ya usambazaji ya Proin Promotions ni kuuza katika mtandao baadae katika Dvd na njia nyingine.
Leo Jumatatu tarehe 16.February. 2015 inapatikana mtandaoni unaweza kununua filamu hiyo kwa kutembelea www.proinpromotions.co.tz na kununua filamu ya C.P.U na filamu zingine za Proin Promotions utanunua na kuangalia full HD.
Sinema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani