Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimekusanya videos 20 za Africa zilizogusa watazamaji wengi zaidi YouTUBE… TZ ipo moja tu!

Ni muziki wa Africa kwenye headlines… najua nina watu wangu wengi ambao ni mashabiki wakubwa wa muziki wa Africa na ndio maana leo nimechukuwa time ya kukusanya videos ambazo zimefanikiwa kugusa watazamaji wengi zaidi kwenye mtandao wa YouTUBE. Inawezekana zipo nyingi ila ripota wako wa nguvu amefanikiwa kuzinasa hizi 20 zenye uwingi wa viewers kuanzia […]

The post Nimekusanya videos 20 za Africa zilizogusa watazamaji wengi zaidi YouTUBE… TZ ipo moja tu! appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

‘Hello’ ya Adele yafikisha watazamaji zaidi ya Milioni 700 Youtube

adele-25-cover

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015, muimbaji kutoka Uingereza, Adele anaendelea kufanya vizuri kutokana na album yake mpya ‘25’.

adele-25-cover

Ikiwa zimebaki siku nne video ya hit single yake ‘Hello’ ifikishe mwezi mmoja toka ilipowekwa kwenye mtandao wa Youtube, tayari imetazamwa zaidi ya mara milioni 700.

Mpaka sasa video ya wimbo huo unaopatikana kwenye album yake mpya ‘25’ ina views 739,530,188.

2015 umekuwa ni mwaka mzuri kwa Adele ambaye alikaa kimya kwa miaka mitatu toka alpoachia album yake...

 

5 years ago

Michuzi

SASA NI WAKATI KUWAPA BURUDANI ZA KINYUMBANI ZAIDI WATAZAMAJI WETU-TIDO MHANDO

       Na.Khadija seif, Michuzi tv

  - Rich rich aona Raha ya kuwepo Azam tv, tamthilia 4 madebe na shilingi yake.

KAMPUNI ya Azam media imezindua filamu nne kwa mpigo jijini leo jijini Dar es salaam.
 Akizungumza na Michuzi tv Mtendaji mkuu wa kampuni ya Azam Media, Tido Mhando amesema Sasa ni wakati wa kuwapa burudani za kinyumbani zaidi watazamaji wao.

"Tumekuwa tukipokea malalamiko,maoni na ujumbe kutoka kwa watazamaji wet,u kupitia mitandaoni kuhusu juu ya kutaka kuona tamthilia za...

 

5 years ago

Michuzi

ZAIDI ya wabunifu 700 nchini wamepata ajira za moja kwa moja

 Mkurugenzi Mkazi wa Mfuko wa Maendeleo ya Watu (HDIF) Joseph Manirakiza kulia akizungumza na waandishi wa habari juu ya wiki ya ubunifu itakayoanza Machi 8 hadi 13 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Katikati ni Kaimu Kiongozi wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo wa Uingereza (DFID) Natalie Smith na kushoto ni Mkurugenzi wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Dr. Amos Nungu. Kaimu Kiongozi wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo wa Uingereza (DFID) Natalie Smith  katikati akifafanua jambo kwa waandishi wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Ipo Siku’ yapakuliwa zaidi Mkito

mtanzania kila siku safiSiah.inddNA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa injili nchini, Goodluck Gozbert, amewashukuru mashabiki kwa kupakuwa wimbo wake unaoitwa Ipo Siku kwenye tovuti ya Mkito inayojihusisha na kuuza nyimbo za wasanii mbalimbali.
Akizungumza na MTANZANIA, Goodluck alisema kuwa hiyo ni
hatua nzuri kwake kwa sababu zipo nyimbo nyingi nzuri za Injili lakini mashabiki wameichagua yake
hivyo anawashukuru na anaomba waendelee kumuunga mkono.
“Wimbo wangu umeongoza kupakuliwa kuliko wimbo wowote
ule wa Injili,...

 

11 years ago

Bongo Movies

Hizi ndio salamu za birthday alizopata Jokate leo. Ipo ya Wema sepetu, flaviana matata na wengine wengi.

Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mwanadada Jokate Mwegelo. Pamoja na salamu nyingi sana za pongezi toka kwa mashabiki wake mastaa hawa hapa chini nao hawakusita kumtakia mwanadada huyu kila la kheri katika siku yake hii.

Flaviana matata : Happy Birthday Jojo @jokatem many happy returns of the day kipenzi.

Elizabeth Michael : Happy birthday beautiful @jokatem have a good one mama...!i love u n u know that

Wema Sepetu:  Awwwwww aint she jus adorable...... And she grew into it pretty well......

 

9 years ago

MillardAyo

List ya wakali 20 waliokimbiza East Africa 2015.. Alikiba, AY, Vanessa, Diamond, wote ndani.. (+Videos)

Countdown ya siku zinazokamilisha mwaka 2015 inazidi kutiririka huku muziki ukionekana kuibeba vizuri ramani ya East Africa kwenye level za kimataifa..!! Najua watu wetu wamefanya kazi nzuri na kazi kubwa kuupeleka muziki kule ulipofika sasahivi. Nimeikuta hii list kwenye ukurasa wa Citizen TV ya Kenya, ambapo wao wameitangaza list yao ya mwaka, ngoma kali zilizokimbiza zaidi kwa […]

The post List ya wakali 20 waliokimbiza East Africa 2015.. Alikiba, AY, Vanessa, Diamond, wote ndani.....

 

9 years ago

Dewji Blog

Irente View Point Lushoto Tanga, moja ya kivutio ambacho watu wengi hawajakitambua

Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente.

Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.

Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia picha.

Hii ni njia ya kuelekea Pangoni.

Ukiwa juu ndani ya Pango utaona hivi.

Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo.

Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony akiwa amefika kujionea eneo...

 

5 years ago

TechCrunch

Africa e-tailer Jumia reports first full-year results post NYSE IPO

Africa e-tailer Jumia reports first full-year results post NYSE IPO  TechCrunch

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani