Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Irente View Point Lushoto Tanga, moja ya kivutio ambacho watu wengi hawajakitambua

Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente.

Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.

Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia picha.

Hii ni njia ya kuelekea Pangoni.

Ukiwa juu ndani ya Pango utaona hivi.

Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo.

Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony akiwa amefika kujionea eneo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UTALII WA NDANI: IRENTE VIEW POINT LUSHOTO TANGA, MOJA YA KIVUTIO AMBACHO WATU WENGI HAWAIJUI

Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente   Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia pichaHii ni njia ya kuelekea Pangoni 
Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo. Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony Njeje akiwa amefika kujionea eneo hilo.Watu wengi wamekuwa na utaratibu wa kukalili kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Finally a Husband’s point of view: Share this to as many men as you can — to give them a laugh

r-HUSBAND-MATERIAL-large570

At last a Husband has taken the time to write down this all finally.

We always hear “the rules” from the Wife’s side.

Now here are the rules from the male side.

 These are our rules! Please note….. these are all numbered “1” ON PURPOSE!

1. Husbands ARE not mind readers.

2. Shopping is NOT a sport. And no, we are never going to think of it that way.

3. Crying is blackmail.

4. Ask for what you want. Let us be clear on this one: Subtle hints do not work! Strong hints do not work! Obvious hints...

 

5 years ago

Michuzi

TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.

Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...

 

9 years ago

Bongo5

Mimi ni mtu mwenye aibu sana kiasi ambacho watu huhisi najisikia – B12

11191079_151146088570015_1052326676_n

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 amesema watu wengi humfirikia tofauti na alivyo.

11875267_897046123708898_1580579379_n

B-Dozen amesema watu wengi huhisi ni mtu mwenye kujisikia na asiyependa kujichanganya na watu.

“Watu hunifikiria tofuti na nilivyo,” Dozen ameliambia gazeti la Mwananchi. “Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Mara nyingi kama mtu simjui vizuri inanipa wakati mgumu kutoa ushirikiano kutokana na kuwa huwa najishtukia,” aliongeza.

“Sio kama najitenga ni udhaifu wangu unasababisha...

 

11 years ago

Michuzi

DOCUMENTARY-TANZANIA; A JOURNEY WITHIN YAWA KIVUTIO, WENGI WAGUSWA NAYO

Tangazo la onesho la Documentary : Tanzania; a Journey within, kama linavyoneka siku ya ufunguzi wake hapo April 25 jiji New York , siku ambayo Jumuiya ya Kimataifa ilikuwa ikiadhimisha siku ya Malaria Duniani. Kwa mujibu wa waandaji wa Documetary hiyo ambayo wahusika wake wakuu ni dada wa Kimarekani Kristen Kenney na kaka wa kitanzania, Venance Ndibalema mapato yatokanayo na onesho la decumentary hiyo yanapelekwa kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa malaria nchi Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA EQUALITY FOR GROWTH (EfG) LAZINDUA MRADI WA MSAADA WA KISHERIA KWA WAFANYABIASHARA SOKONI NA OFISI ZAKE WILAYANI LUSHOTO MKOANI TANGA

 Kaimu Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Lushoto, Dk.Hassan Shelukindo (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa  mradi wa msaada wa kisheria kwa wafanyabiashara sokoni na ofisi ya mradi huo wilayani Lushoto mkoani Tanga jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la  Equality for Growth (EfG), Jane Magigita na Katibu Tawala wa wilaya hiyo (DAS), Josephine Kisigila. Mradi huo unaendeshwa na EfG. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la  Equality for Growth (EfG), Jane Magigita akitoa...

 

9 years ago

Michuzi

WATU ZAIDI YA KUMI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI YA LORI KUPINDUKA WILAYANI LUSHOTO

Watu zaidi ya 10 wahofiwa kufariki Dunia eneo la Soni, Lushoto Mkoani Tanga kufuatia ajali ya Fuso iliyotokea kwenye Maulidi kuanguka nakubiringika bondeni. Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa. sehemu ya umati wa watu waliofika kushuhudia tukio la ajali hiyo iliyotokea Soni,Lushoto mkoani Tanga Baadhi ya mashuhuda wakitazama Lori hilo lililopelekea vifo vya watu zaidi ya kumi baada ya kupinduka na kubiringika bondeni,huko Soni,Lushoto mkoani Tanga

 

5 years ago

CNBC

Dow futures point to more than 500 point opening loss following market's worst day since 'Black Monday'

Dow futures point to more than 500 point opening loss following market's worst day since 'Black Monday'  CNBCTrump travel ban bludgeons stocks, Dow falls 1,600 points at open  Aljazeera.comDow Jones, S&P 500 enter bear market, but some are bullish  ValueWalkWall Street faces another bloodbath as Dow drops over 2,000 points at opening bell  RTWorst Wall Street day since 1987 as sell-off over coronavirus deepens  WGRZ.comView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani