UTALII WA NDANI: IRENTE VIEW POINT LUSHOTO TANGA, MOJA YA KIVUTIO AMBACHO WATU WENGI HAWAIJUI
![](http://img.youtube.com/vi/aqzgYk4h_00/default.jpg)
Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente
Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.
Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia picha
Hii ni njia ya kuelekea Pangoni
Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo.
Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony Njeje akiwa amefika kujionea eneo hilo.Watu wengi wamekuwa na utaratibu wa kukalili kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Irente View Point Lushoto Tanga, moja ya kivutio ambacho watu wengi hawajakitambua
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtjYXbN6DjM/VmazhGF9MHI/AAAAAAAAed4/lJcHXIJJCGc/s640/IMG_20151124_075041.jpg)
Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente.
![](http://3.bp.blogspot.com/-x3mrDjdW8XM/VmazWeKbkeI/AAAAAAAAecM/1y6XUJS32UI/s640/IMG_20151122_162435.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jlGt_ieQSg/VmazU82GkZI/AAAAAAAAeb8/J59yHAXhSa0/s640/IMG_20151123_174513.jpg)
Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1VsnU8Z1Jrk/VmazckvBkwI/AAAAAAAAedE/2C2hMZI7Obo/s640/IMG_20151123_180041.jpg)
Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia picha.
![](http://3.bp.blogspot.com/-56xvjpvab8A/Vmazb5RCUlI/AAAAAAAAec8/ojfs2VV62og/s640/IMG_20151123_180020.jpg)
Hii ni njia ya kuelekea Pangoni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8vR2AGP8bkQ/VmazaxfPAnI/AAAAAAAAecw/EaFWt195f-E/s640/IMG_20151123_175809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8s-MG78k64s/VmazXClwMPI/AAAAAAAAecU/R9iKEZ4Raq0/s640/IMG_20151123_175750.jpg)
Ukiwa juu ndani ya Pango utaona hivi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hf9VgAxehnY/VmazeXKgzOI/AAAAAAAAedU/Ch8NVUbU9qI/s640/IMG_20151123_181054.jpg)
Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGX4kNblXvY/VmazVoM-ikI/AAAAAAAAecA/644l_RQ4q0w/s640/IMG_20151123_175237.jpg)
Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony akiwa amefika kujionea eneo...
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Finally a Husband’s point of view: Share this to as many men as you can — to give them a laugh
At last a Husband has taken the time to write down this all finally.
We always hear “the rules” from the Wife’s side.
Now here are the rules from the male side.
These are our rules! Please note….. these are all numbered “1” ON PURPOSE!
1. Husbands ARE not mind readers.
2. Shopping is NOT a sport. And no, we are never going to think of it that way.
3. Crying is blackmail.
4. Ask for what you want. Let us be clear on this one: Subtle hints do not work! Strong hints do not work! Obvious hints...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T34Tk2k1iLU/XmJey8EuYWI/AAAAAAALhlU/0KAwcfgtxOsezi1bGx9wEGgks4vqY0GrwCLcBGAsYHQ/s72-c/cc5c3b1c-fe1f-4d84-97bb-a1a1d9192272.jpg)
TACAIDS YASEMA KILA BAADA YA SAA MOJA WATU TISA WANAAMBUKIZWA UKIMWI, WENGI WAO NI VIJANA
TAKWIMU za maambukizi ya Ukimwi nchini Tanzania kwa sasa yanayonesha kuwa kwa mwaka kuna maambukizi mapya 72000 na kwa siku kuna maambukizi mapya ya watu 200 na hivyo kufanya kila saa moja kati ya watu nane hadi tisa wanaambukizwa ugonjwa huo.
Akizungumza leo Machi 6 mwaka 2020 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania(TACAIDS) Dk.Leonard Maboko amefafanua mwaka 2016 hadi mwaka 2017 ulifanyika utafiti na kubaini kwa mwaka kuna...
11 years ago
Mwananchi29 May
Kivutio kipya cha utalii Serengeti
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P0NcZRObUHY/VCVPfZeGGnI/AAAAAAAGl8Y/s2An1x5GIjw/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Utalii wa Wanyamapori na Maendeleo ya Jamii: Mambo yenye uhusiano wa asili na wa moja kwa moja
![](http://2.bp.blogspot.com/-P0NcZRObUHY/VCVPfZeGGnI/AAAAAAAGl8Y/s2An1x5GIjw/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
Mark ChildressSiku ya Kimataifa ya Utalii ambayo huadhimishwa tarehe 27 Septemba inatupa fursa ya kutafakari manufaa na matokeo ya jitihada za uhifadhi wa wanyama pori na utalii kwa jamii zinazozunguka maeneo ambapo shughuli hizi zinafanyika na kwa Tanzania kwa ujumla. Kwa watu wengi duniani kote, kutembelea Tanzania ni jambo la kipekee na la kihistoria katika maisha yao. Kwa Tanzania ziara za watalii hao ni chanzo cha mapato na kichocheo cha uchumi,...
10 years ago
Habarileo09 Dec
Ataka kambi ya wapigania Uhuru kuwa kivutio cha utalii
MKUU wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Alfred Msovella amesema iko haja ya kambi ya wapigania Uhuru ya Kongwa kuendelezwa kiwe kitovu cha watafiti na utalii.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Tanzania imeshindwa kuzifanya nyayo za binadamu wa kale kivutio cha utalii
9 years ago
Bongo517 Nov
Mimi ni mtu mwenye aibu sana kiasi ambacho watu huhisi najisikia – B12
![11191079_151146088570015_1052326676_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11191079_151146088570015_1052326676_n-300x194.jpg)
Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 amesema watu wengi humfirikia tofauti na alivyo.
B-Dozen amesema watu wengi huhisi ni mtu mwenye kujisikia na asiyependa kujichanganya na watu.
“Watu hunifikiria tofuti na nilivyo,” Dozen ameliambia gazeti la Mwananchi. “Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Mara nyingi kama mtu simjui vizuri inanipa wakati mgumu kutoa ushirikiano kutokana na kuwa huwa najishtukia,” aliongeza.
“Sio kama najitenga ni udhaifu wangu unasababisha...
11 years ago
MichuziDOCUMENTARY-TANZANIA; A JOURNEY WITHIN YAWA KIVUTIO, WENGI WAGUSWA NAYO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10