Mimi ni mtu mwenye aibu sana kiasi ambacho watu huhisi najisikia – B12
Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 amesema watu wengi humfirikia tofauti na alivyo.
B-Dozen amesema watu wengi huhisi ni mtu mwenye kujisikia na asiyependa kujichanganya na watu.
“Watu hunifikiria tofuti na nilivyo,” Dozen ameliambia gazeti la Mwananchi. “Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Mara nyingi kama mtu simjui vizuri inanipa wakati mgumu kutoa ushirikiano kutokana na kuwa huwa najishtukia,” aliongeza.
“Sio kama najitenga ni udhaifu wangu unasababisha...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Tatizo la aibu kupita kiasi kwa watoto
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Irente View Point Lushoto Tanga, moja ya kivutio ambacho watu wengi hawajakitambua
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtjYXbN6DjM/VmazhGF9MHI/AAAAAAAAed4/lJcHXIJJCGc/s640/IMG_20151124_075041.jpg)
Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente.
![](http://3.bp.blogspot.com/-x3mrDjdW8XM/VmazWeKbkeI/AAAAAAAAecM/1y6XUJS32UI/s640/IMG_20151122_162435.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jlGt_ieQSg/VmazU82GkZI/AAAAAAAAeb8/J59yHAXhSa0/s640/IMG_20151123_174513.jpg)
Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1VsnU8Z1Jrk/VmazckvBkwI/AAAAAAAAedE/2C2hMZI7Obo/s640/IMG_20151123_180041.jpg)
Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia picha.
![](http://3.bp.blogspot.com/-56xvjpvab8A/Vmazb5RCUlI/AAAAAAAAec8/ojfs2VV62og/s640/IMG_20151123_180020.jpg)
Hii ni njia ya kuelekea Pangoni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8vR2AGP8bkQ/VmazaxfPAnI/AAAAAAAAecw/EaFWt195f-E/s640/IMG_20151123_175809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8s-MG78k64s/VmazXClwMPI/AAAAAAAAecU/R9iKEZ4Raq0/s640/IMG_20151123_175750.jpg)
Ukiwa juu ndani ya Pango utaona hivi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hf9VgAxehnY/VmazeXKgzOI/AAAAAAAAedU/Ch8NVUbU9qI/s640/IMG_20151123_181054.jpg)
Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGX4kNblXvY/VmazVoM-ikI/AAAAAAAAecA/644l_RQ4q0w/s640/IMG_20151123_175237.jpg)
Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony akiwa amefika kujionea eneo...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aqzgYk4h_00/default.jpg)
UTALII WA NDANI: IRENTE VIEW POINT LUSHOTO TANGA, MOJA YA KIVUTIO AMBACHO WATU WENGI HAWAIJUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtjYXbN6DjM/VmazhGF9MHI/AAAAAAAAed4/lJcHXIJJCGc/s640/IMG_20151124_075041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x3mrDjdW8XM/VmazWeKbkeI/AAAAAAAAecM/1y6XUJS32UI/s640/IMG_20151122_162435.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jlGt_ieQSg/VmazU82GkZI/AAAAAAAAeb8/J59yHAXhSa0/s640/IMG_20151123_174513.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1VsnU8Z1Jrk/VmazckvBkwI/AAAAAAAAedE/2C2hMZI7Obo/s640/IMG_20151123_180041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-56xvjpvab8A/Vmazb5RCUlI/AAAAAAAAec8/ojfs2VV62og/s640/IMG_20151123_180020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8vR2AGP8bkQ/VmazaxfPAnI/AAAAAAAAecw/EaFWt195f-E/s640/IMG_20151123_175809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hf9VgAxehnY/VmazeXKgzOI/AAAAAAAAedU/Ch8NVUbU9qI/s640/IMG_20151123_181054.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGX4kNblXvY/VmazVoM-ikI/AAAAAAAAecA/644l_RQ4q0w/s640/IMG_20151123_175237.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi
* Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri
*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Musoma
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo, ametangaza nia rasmi ya kuwaomba Wana CCM kumteua kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, huku akisema ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuikwamua nchi katika hali mbaya ya umasikini na ukosefu wa wataalamu, hali inayoifanya nchi ishindwe kupiga hatua.
Pamoja na mambo mengine, Muhongo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Miy5-5-cgYtKAv5fm*0qrkZMOeeWytS7VNa6fYnvsn7qRH-cNy7QO6aodnjlVEf6BivOI50rd-ZMe8BB1aMHkR-2vqt5JBiB/Mumez.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFANYA MAMBO YA AIBU!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO3AHyf5gtwGL5zmQo7lz*wMzaJe5dErVKCqqXFQdpVQNGyAXElQfy37ld1QKghcOYVa26d03rlFinap2JaoYwKG/MkewaM2.jpg?width=650)
AIBU! MKE WA MTU AMWAGA RADHI
10 years ago
GPLNINGEKUWA MIMI CHENGE,NISINGEDIRIKI KUJIITA NYOKA MWENYE MAKENGEZA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVeu5aZE1HtzwKO32A*J29Od6pn4tqsgVT8tSqQZ-4tcXhIyXCtrBO5BbIz18BBqvfTa6kRel0Kqjnj-VwmXxF7b/AIBU.jpg?width=650)
AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA