Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mimi ni mtu mwenye aibu sana kiasi ambacho watu huhisi najisikia – B12

11191079_151146088570015_1052326676_n

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 amesema watu wengi humfirikia tofauti na alivyo.

11875267_897046123708898_1580579379_n

B-Dozen amesema watu wengi huhisi ni mtu mwenye kujisikia na asiyependa kujichanganya na watu.

“Watu hunifikiria tofuti na nilivyo,” Dozen ameliambia gazeti la Mwananchi. “Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Mara nyingi kama mtu simjui vizuri inanipa wakati mgumu kutoa ushirikiano kutokana na kuwa huwa najishtukia,” aliongeza.

“Sio kama najitenga ni udhaifu wangu unasababisha...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tatizo la aibu kupita kiasi kwa watoto

Mtoto wako ana aibu kupita kiasi? Unafahamu kuwa kitendo cha mtoto wako kuwa katika hali hiyo kinaweza kuathiri hata maisha yake ya baadaye?

 

9 years ago

Dewji Blog

Irente View Point Lushoto Tanga, moja ya kivutio ambacho watu wengi hawajakitambua

Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente.

Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.

Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia picha.

Hii ni njia ya kuelekea Pangoni.

Ukiwa juu ndani ya Pango utaona hivi.

Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo.

Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony akiwa amefika kujionea eneo...

 

9 years ago

Michuzi

UTALII WA NDANI: IRENTE VIEW POINT LUSHOTO TANGA, MOJA YA KIVUTIO AMBACHO WATU WENGI HAWAIJUI

Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente   Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo watu wengi wanapenda kupigia pichaHii ni njia ya kuelekea Pangoni 
Mmoja wa walinzi akiandika akiwakatia risiti wageni mbalimbali waliotembelea eneo hilo. Mmoja wa wandishi wa Blogs za Mikoa Fredy Tony Njeje akiwa amefika kujionea eneo hilo.Watu wengi wamekuwa na utaratibu wa kukalili kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi

MUHONGO

* Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri

*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Musoma

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo, ametangaza nia rasmi ya kuwaomba Wana CCM kumteua kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, huku akisema ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuikwamua nchi katika hali mbaya ya umasikini na ukosefu wa wataalamu, hali inayoifanya nchi ishindwe kupiga hatua.

Pamoja na mambo mengine, Muhongo...

 

9 years ago

GPL

MUME WA MTU AFANYA MAMBO YA AIBU!

Richard Bukos Mwanaume mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja aliyedaiwa kuwa ni mume wa mtu, hivi karibuni alifanya mambo ya aibu ikiwemo kuvua nguo na kukata mauno mbele za wasichana. Baba huyo akisakata rumba. Tukio hilo lilijiri ndani ya Ukumbi wa Highway Night Park uliopo Ukonga jijini Dar wakati Bendi ya Mashujaa Musica ilipokuwa ikiporomosha burudani.Awali, mwanaume huyo ambaye ilidaiwa siku nyingine...

 

9 years ago

GPL

AIBU! MKE WA MTU AMWAGA RADHI

Na Dustan Shekidele, Morogoro. MWANAMKE mmoja aliyetambulika kama mke wa mtu, aliyetajwa kwa jina la Mama Sabrana, mwishoni mwa wiki iliyopita alijikuta kwenye aibu kubwa, baada ya kufanya mambo ndivyo sivyo ndani ya Ukumbi wa Rose Garden, uliopo Mafiga mjini hapa wakati wa sherehe za kumuaga binti wa dada’ke muigizaji maarufu nchini, Beatrice Holisi ‘Nina’. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1ORe6xr ...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI CHENGE,NISINGEDIRIKI KUJIITA NYOKA MWENYE MAKENGEZA

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge. Kwako Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Niliwahi kuzungumza nawe kupitia ukurasa huu, nikakushauri kuhusu mambo fulani ambayo nashukuru kwamba licha ya kutopendezwa na lugha niliyoitumia kukufikishia ujumbe, angalau ulitekeleza baadhi ingawa siyo yote. Ukajiuzulu wadhifa wako wa Uenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti kutokana na sakata kubwa la Escrow ambalo nawe ulikuwa...

 

11 years ago

GPL

AIBU MKE WA MTU, SHILINGI MILIONI 15 ZAMPONZA

Stori: Issa Mnally na Richard Bukos
MWANAMKE aliyetajwa kwa jina moja la Winfrida ambaye ni mke wa mtu amekwaa aibu ya karne baada ya kudaiwa kutaka kuuza kiwanja ambacho si mali yake na kujipatia fedha isivyo kihalali kutoka kwa mtu aitwaye Stanlaus Hajj ‘Stan’, Ijumaa lina mkanda kamili. Winfrida ambaye ni mke wa mtu akiwa mikononi mwa polisi baada ya kunaswa. Awali ilidaiwa kuwa mwanamke huyo, alichukua Sh....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani