Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NINGEKUWA MIMI CHENGE,NISINGEDIRIKI KUJIITA NYOKA MWENYE MAKENGEZA

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge. Kwako Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Niliwahi kuzungumza nawe kupitia ukurasa huu, nikakushauri kuhusu mambo fulani ambayo nashukuru kwamba licha ya kutopendezwa na lugha niliyoitumia kukufikishia ujumbe, angalau ulitekeleza baadhi ingawa siyo yote. Ukajiuzulu wadhifa wako wa Uenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti kutokana na sakata kubwa la Escrow ambalo nawe ulikuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Chenge: Mimi ni nyoka, Asema ni yule mwenye makengeza, Asisitiza kuwa ni mtafuta fedha

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, ‘amefunguka’ kuhusu kashfa inayomkabili ya kupata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa kifisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akisema hastahili kuitwa mwizi, bali anapaswa kuitwa ‘nyoka wa makengeza’.

Amesema anapaswa kuitwa ‘nyoka wa makengeza’ kwa kuwa yeye ni mjanja wa kutafuta fedha kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake, ambao wanapaswa kupuuza madai ya wizi yanayoelekezwa kwake,...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI CHENGE, NISINGESUBIRI KUWAJIBISHWA

Andrew Chenge. Kwako Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Najua hunifahamu na hakuna mazingira yanayoweza kutukutanisha pamoja lakini hiyo hainizuii kukufishia ujumbe wangu kwako, najua ‘utamaindi’ lakini ni lazima nikwambie kwa faida yako na ya Watanzania. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Desemba 24, 1947 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Zagayu kama wewe. Sikusoma Sekondari ya St. Mary’s Junior...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI HAWA GHASIA, NINGEKUWA WA KWANZA KUJIUZULU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- tamisemi), Hawa Abdulrahman Ghasia. Kwako Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa- tamisemi), Hawa Abdulrahman Ghasia. Ni matumaini yangu kwamba bado upo kwenye wakati mgumu kutokana na madudu yaliyotokea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha sehemu nyingine uchaguzi uahirishwe kutokana na dosari za...

 

10 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA: Nisipokataa ukatili, na mimi mkatili

>Mara nyingine kejeli hazifai.  Mara nyingine hata uandishi unaacha ladha mbaya mdomoni.  Mara nyingine kukaa mbele ya kompyuta na kuandika huku watu wanateketea ni kama kukwepa majukumu.  Mara nyingine ...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI PROFESA LIPUMBA, NINGEENDELEA NA HARAKATI

Profesa Ibrahim Haruna Lipumba. Kwako Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF).
Najua bado unaendelea kuuguza majeraha kutokana na kipigo kikali ulichoshushiwa na polisi siku chache zilizopita pale ulipojaribu kwenda kuwatawanya wafuasi wa chama chako waliotaka kuandamana na kuhudhuria mkutano wako wa hadhara. Najua bado unakabiliwa na kesi ya kuwashawishi wafuasi wako kutenda kosa la...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI NYALANDU, NISINGETANGAZA KUGOMBEA URAIS

Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Samuel Nyalandu. Kwako Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Samuel Nyalandu.
Najua uko bize sana kwa sasa ukiweka sawa mipango yako kuhakikisha mwaka huu unaingia ikulu katika uchaguzi mkuu ujao, najua itakuwa vigumu kwa ‘kapuku’ kama mimi kuonana na wewe ndiyo maana nimeamua kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI KINGUNGE NGOMBALE MWIRU, NINGEJITATHMINI KWANZA

Kingunge Ngombale Mwilu. Heshima yako mzee! Najua una mambo mengi ya kufanya, ukichanganya na umri wako, itakuwa vigumu sana kwa mtu kama mimi kuonana ana kwa ana na wewe. Hiyo ndiyo sababu iliyonifanya niamue kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe wangu kwako. Mheshimiwa, mimi si mwanasiasa mkongwe kama wewe ambaye umeitumikia nchi hii tangu enzi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mpaka leo hii. Sijawahi kushika nyadhifa...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI ZITTO KABWE, NINGETAZAMA UPYA NYENDO ZANGU

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe. Kwako Zitto Zuberi Kabwe.
Siku nyingi zimepita tangu tulipoonana mara ya mwisho, siku uliyokuja kutembelea chumba chetu cha habari. Natamani kukutana nawe tena ili nikufikishie ujumbe huu lakini kwa sababu ya ubize ulionao, nadhani itakuwa ngumu! Acha nikufikishie nilichotaka kukwambia kupitia ukurasa huu. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Septemba 24, 1976 huko Kigoma kama wewe. Wala...

 

10 years ago

GPL

WEMA; HATA MIMI NINGEKUWA AUNT EZEKIEL NINGEGOMBANA NA WEWE

Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu.
Oscar ndauka
LICHA ya kupatana, habari ya mjini kwa sasa ni ugomvi mkali, wenye visa  vya kushangaza kati ya mastaa wawili wa sinema za Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel.Hii ‘kapo’ siku za karibuni, ilikuwa nzuri kwa maana ya urafiki wao mkubwa.Urafiki wa Wema na Aunt ulianza pale Wema alipoutengua urafiki wake na staa mwingine wa fani hiyo, Kajala Masanja. Wema Sepetu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani