Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chenge: Mimi ni nyoka, Asema ni yule mwenye makengeza, Asisitiza kuwa ni mtafuta fedha

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, ‘amefunguka’ kuhusu kashfa inayomkabili ya kupata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa kifisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), akisema hastahili kuitwa mwizi, bali anapaswa kuitwa ‘nyoka wa makengeza’.

Amesema anapaswa kuitwa ‘nyoka wa makengeza’ kwa kuwa yeye ni mjanja wa kutafuta fedha kwa ajili ya wananchi wa jimbo lake, ambao wanapaswa kupuuza madai ya wizi yanayoelekezwa kwake,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI CHENGE,NISINGEDIRIKI KUJIITA NYOKA MWENYE MAKENGEZA

Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge. Kwako Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Niliwahi kuzungumza nawe kupitia ukurasa huu, nikakushauri kuhusu mambo fulani ambayo nashukuru kwamba licha ya kutopendezwa na lugha niliyoitumia kukufikishia ujumbe, angalau ulitekeleza baadhi ingawa siyo yote. Ukajiuzulu wadhifa wako wa Uenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti kutokana na sakata kubwa la Escrow ambalo nawe ulikuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

KONA YA MAKENGEZA: Nisipokataa ukatili, na mimi mkatili

>Mara nyingine kejeli hazifai.  Mara nyingine hata uandishi unaacha ladha mbaya mdomoni.  Mara nyingine kukaa mbele ya kompyuta na kuandika huku watu wanateketea ni kama kukwepa majukumu.  Mara nyingine ...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI CHENGE, NISINGESUBIRI KUWAJIBISHWA

Andrew Chenge. Kwako Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
Najua hunifahamu na hakuna mazingira yanayoweza kutukutanisha pamoja lakini hiyo hainizuii kukufishia ujumbe wangu kwako, najua ‘utamaindi’ lakini ni lazima nikwambie kwa faida yako na ya Watanzania. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Desemba 24, 1947 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Zagayu kama wewe. Sikusoma Sekondari ya St. Mary’s Junior...

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.



Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.

 

10 years ago

Dewji Blog

Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi

MUHONGO

* Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri

*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Musoma

WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo, ametangaza nia rasmi ya kuwaomba Wana CCM kumteua kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, huku akisema ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuikwamua nchi katika hali mbaya ya umasikini na ukosefu wa wataalamu, hali inayoifanya nchi ishindwe kupiga hatua.

Pamoja na mambo mengine, Muhongo...

 

10 years ago

Vijimambo

PNC SHINO Yule yule 2015 Tanzanian Music Official video


Singer Name:- Pnc
 Song Name:- Yule Yule
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Director:- Saimako

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza la Mawaziri ni sheikh yule yule katika kanzu mpya!

WASWAHILI watakuambia ni sheikh yule yule ndani ya kanzu mpya. Wazungu watakuambia ni mvinyo ule ule kwenye chupa mpya. Naam, hilo ndilo Baraza la Mawaziri lililorekebishwa. Watu walikuwa macho wazi...

 

10 years ago

Habarileo

Werema asisitiza fedha za Escrow si za umma

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema (kushoto) akisalimiana na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. Katikati ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge. (Na Mpigapicha Wetu).MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Federick Werema, amesema kwa msimamo wake, fedha za akaunti ya Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), hazikuwa za umma na sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), ni upuuzi.

 

9 years ago

Bongo5

Mimi ni mtu mwenye aibu sana kiasi ambacho watu huhisi najisikia – B12

11191079_151146088570015_1052326676_n

Mtangazaji mahiri wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Hamis Mandi aka B12 amesema watu wengi humfirikia tofauti na alivyo.

11875267_897046123708898_1580579379_n

B-Dozen amesema watu wengi huhisi ni mtu mwenye kujisikia na asiyependa kujichanganya na watu.

“Watu hunifikiria tofuti na nilivyo,” Dozen ameliambia gazeti la Mwananchi. “Mimi ni mtu mwenye aibu sana. Mara nyingi kama mtu simjui vizuri inanipa wakati mgumu kutoa ushirikiano kutokana na kuwa huwa najishtukia,” aliongeza.

“Sio kama najitenga ni udhaifu wangu unasababisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani