Ataka kambi ya wapigania Uhuru kuwa kivutio cha utalii
MKUU wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Alfred Msovella amesema iko haja ya kambi ya wapigania Uhuru ya Kongwa kuendelezwa kiwe kitovu cha watafiti na utalii.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Dar Es Salaam kuwa kivutio kikubwa cha wawekezaji na utalii miaka michache ijayo
Pichani ni Jengo litakalojengwa jijini Dar es salaam na litagharimu Dola za kimarekani milioni 77,kutakuwa na hoteli ya hadhi ya Nyota Tano, Ofisi za Biashara, kutakuwa na Sehemu ya kuegesha magari, jengo hili litatakuwa kivutio kwa Wawekezaji na Utalii.(23 Juni 2014).
Baadhi Malori na Vifaa vingine vya kutendea kazi vikiwa tayari kuahiria ujenzi huu unaanza mara moja baada ya zoezi la uwekaji wa jiwe la msingi kukamilika.
Mama Maria Nyerere akiwasili kwenye sherehe ya uwekaji jiwe la...
11 years ago
Mwananchi29 May
Kivutio kipya cha utalii Serengeti
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Tanzania imeshindwa kuzifanya nyayo za binadamu wa kale kivutio cha utalii
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aqzgYk4h_00/default.jpg)
UTALII WA NDANI: IRENTE VIEW POINT LUSHOTO TANGA, MOJA YA KIVUTIO AMBACHO WATU WENGI HAWAIJUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-dtjYXbN6DjM/VmazhGF9MHI/AAAAAAAAed4/lJcHXIJJCGc/s640/IMG_20151124_075041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x3mrDjdW8XM/VmazWeKbkeI/AAAAAAAAecM/1y6XUJS32UI/s640/IMG_20151122_162435.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jlGt_ieQSg/VmazU82GkZI/AAAAAAAAeb8/J59yHAXhSa0/s640/IMG_20151123_174513.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1VsnU8Z1Jrk/VmazckvBkwI/AAAAAAAAedE/2C2hMZI7Obo/s640/IMG_20151123_180041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-56xvjpvab8A/Vmazb5RCUlI/AAAAAAAAec8/ojfs2VV62og/s640/IMG_20151123_180020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8vR2AGP8bkQ/VmazaxfPAnI/AAAAAAAAecw/EaFWt195f-E/s640/IMG_20151123_175809.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hf9VgAxehnY/VmazeXKgzOI/AAAAAAAAedU/Ch8NVUbU9qI/s640/IMG_20151123_181054.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gGX4kNblXvY/VmazVoM-ikI/AAAAAAAAecA/644l_RQ4q0w/s640/IMG_20151123_175237.jpg)
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Uhuru Kenyatta: Wataalamu wanakadiria kilele cha corona kuwa Agosti au Septemba Kenya
9 years ago
Mtanzania17 Dec
Waziri ataka kambi ya kudumu
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, DK. Hamis Kigwangala, ameipa miezi sita Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam kujenga kambi ya kudumu ya wagonjwa wa Kipundupindu.
Agizo hilo la Dk. Kigwangala linakwenda kinyume na mtazamo wa Rais Dk. John Magufuli ambaye amekuwa akihimiza suala la usafi ili kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu nchini.
Katika kuhakikisha ugonjwa huo unatokomezwa, Rais Magufuli alifuta sherehe za Uhuru za...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eGh_mz7mUQ/VSYiVwtNODI/AAAAAAAHPsM/h9Z_zaW6zho/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pg-3rZmzaiU/VSYiWmmKT5I/AAAAAAAHPsU/95XBUg5ES2M/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xOHbWN1SM9A/XrfHLIoVwZI/AAAAAAAEG90/EZ550BNLslgEH1754wCkXT1XoNkeMentQCLcBGAsYHQ/s72-c/SAUT.jpg)
CHUO KIKUU CHA SAUT NA KAMPUNI YA REAL PR SOLUTIONS WASAINI MAKUBALIANO YA UTEKELEZAJI WA PAMOJA MPANGO WA MAFUNZO KWA WADAU WA UTALII UJULIKANAO “UTALII MPYA WAKATI NA BAADA YA CORONA" .
Zaidi, mafunzo hayo yanalenga pia kuandaa wadau wa utalii hapa nchini ili waweze kutoa huduma zao kwa weledi huku wakizingatia kanuni za kiafya pindi sekta hiyo itakapoimarika baada ya kuathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu (COVID0-19) unaosababishwa na virus vya corona ambalo...