Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhuru Kenyatta: Wataalamu wanakadiria kilele cha corona kuwa Agosti au Septemba Kenya

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameelezea wasi wasi wake kuhusu ongezeko la idadi ya watu walioambukuzwa virusi vya corona katika taifa hilo la Afrika Mashariki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kenya kufikia kilele cha maambukizi baina ya Agosti na Septemba

Wizara ya Afya Kenya imetahadharisha wananchi kuwa huenda ikashuhudia idadi ya juu zaidi ya maambukizi huku kilele chake kikitarajiwe Agosti na Septemba.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya akataa kufuta uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekataa kufutilia mbali uwezekano kwamba wadhfa wa waziri mkuu huenda ukabuniwa katika kura ya maoni ijayo kama njia ya kumfanya kuwa na madaraka baada ya muda wake wa kikatiba wa mihula miwili kama rais kukamilika.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vrusi vya corona: Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta atoa mipango ya kufua uchumi

''Hatuwezi kuendelea kusema wakenya tukae nyumbani'' Rais Uhuru Kenyatta amesema hivyo huku akitangaza maambukizi mapya 31.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uhuru Kenyatta anasema hatua ya wanajeshi wa Somalia kuingia Kenya ni kitendo cha uchokozi

Uhuru amesema kwamba taifa la Somalia linapaswa kuangazia maswala ya raia wake kwa kukabiliana na kuushinda ugaidi ili kuweka amani,

 

9 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA

Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...

 

10 years ago

Michuzi

Kilele cha Mbio za Uhuru chafanyika jijini Dar

Mshindi wa kwanza wa mbio za kilometa 21 katika mashindano ya Uhuru Marathon 2014,Fabian Joseph akimaliza mbio hizo katika viwanja vya Leaders Club,kuliko fanyika kilele cha mbio hizo.Fabian ameibuka kidedea baada ya kuwaacha nyuma washiriki wenzake 10.Baadhi ya washiriki wa mbio hizo wakiingia katika viwanya vya Leaders Club,jijini Dar es Salaam kumalizia ngwe. Mgeni Rasmi katika mashindano ya Uhuru Marathon,Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Dkt. Fenella Mukangara akitoa hotuba...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?

Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS UHURU KENYATTA AWASILI NCHINI KENYA AKITOKEA MAHAKAMA YA ICC

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya (kushoto) akilakiwa na Makamau wa Rais, William Ruto alipowasili JKIA leo alfajiri akitokea The Hague.Rais Uhuru Kenyatta pamoja na Mkewe wakisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa waliofika kuwapokea mara tu alipowasili toka kwenye mahama ya ICC na yeye kuwa kiongozi wa kwanza akiwa madarakani kushitakiwa na mahakama hiyo.Rais Uhuru Kenyatta na mkwewe wakisalimiana na viongozi mbalimbaliRais Uhuru Kenyatta na mkewe wakiendelea kusalimiana na viongozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani