Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani hatimae itazungumza na Assad

John Kerry asema hatimae patakuwa hakuna budi ila kuzungumza na Rais Assad kumaliza vita Syria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yakerwa na ziara ya Assad Moscow

Marekani imeishutumu Urusi kwa kumpa mapokezi ya taadhima Rais wa Syria Bashar al-Assad mjini Moscow.

 

10 years ago

Vijimambo

HATIMAE BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI LAAHIRISHWA RASMI


Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaj Alli Hassan Mwinyi, akikagua maonyesho ya kazi zinazofanywa na manispaa ya Kinondoni.Mstahiki Meya wa Manispaa ya kinondoni , Yusuph Mwenda akimkabidhi jezi ya timu ya soka ya Kinondoni Municipal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ally Hassan Mwinyi kama ishara ya kuwa mlezi wa timu hiyoRais Mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Alli Hassan Mwinyi akimkabidhi cheti na na nishani ya utumishi uliotukuka Mstahiki Meya wa Manispaa ya kinondoni, Yusuph Mwenda...

 

10 years ago

Vijimambo

MTEMBEAJI WA MIGUU WA MAILI 21 KILA SIKU HATIMAE AZAWADIWA GARI

James Robertson akitembea maili 21 kwenda na kurudi kaziniJames Robertson akielekea kupanda gari lake alilopewa bure aina ya Ford Taurus ambayo ndio iliyokua chaguo lakeJames Robertson akioka machozi ya kwa furaha.
James Robertson mkaazi wa Detroit aliyetembea maili 21 kwenda kazini kwa takribani muongo mmoja hatimaye apata gari baada habari zake kuenea kwenye mitandao.
James Robertson ambaye amekua akitembea kwa miguu maili 21 kila siku aliitwa kwenye kampuni inayouza magari na kupewa gari...

 

10 years ago

Vijimambo

Hatimae Bi Moza afanikisha kumpeleka mtoto wake India kwa matibabu


Bi Moza akiwa akimshindikiza mtoto wake Moh'd Saidi, Nchini India kwa matibabuBi Moza Moh'd Khamis anapenda tena kutoa shukurani za dhati kwa wale wote waliochangia kwa hali na mali kwa mtoto wake Moh'd Said Moh'd, kwenda kufanyiwa matibabu ya upandikizaji wa figo, nchini India.Mapema asubuhi ya leo Bi Moza aliongea na blog ya swahilivilla ili kutoa taarifa kwa kukamilika safari yake ya kwenda nchini India pamoja na kutaka tumuombe Dua za kumtakia kila la kheri katika safari hiyo.Moh'd...

 

9 years ago

BBCSwahili

Assad aisifu Urusi

Rais wa Syria Bashar al-Assad anasema kuwa kuingia kwa Urusi katika vita nchini mwake kumeleta mabadiliko

 

10 years ago

Daily News

Prof Assad new CAG


Daily News
Prof Assad new CAG
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Professor Mussa Juma Assad the new Controller and Auditor General (CAG) effective November 5. Professor Assad fills in the position left by Mr Ludovick Utouh who retired in September. The statement sued by ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Assad usikubali kuyumbishwa

RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Ludovick Utouh ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Profesa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Assad: Mashambulizi ya Uingereza si halali

Rais wa Syria Bashar al-Assad amelaani hatua ya ndege za Uingereza kushambulia maeneo nchini mwake akisema sio halali.

 

10 years ago

Habarileo

Profesa Assad awa CAG mpya

Profesa Mussa Juma AssadRAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani