Marekani yakerwa na ziara ya Assad Moscow
Marekani imeishutumu Urusi kwa kumpa mapokezi ya taadhima Rais wa Syria Bashar al-Assad mjini Moscow.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Assad afanya ziara ya ghafla Moscow
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Marekani hatimae itazungumza na Assad
11 years ago
Michuzi02 Apr
10 years ago
Habarileo21 Dec
Tahliso yakerwa kuingiliwa kisiasa
UONGOZI mpya wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso), umekerwa na mgogoro uliopo katika taasisi hiyo ambao umesababishwa na uongozi uliopita kuingiza itikadi za kisiasa ndani ya umoja huo.
11 years ago
Habarileo11 Feb
Serikali yakerwa uzushi wa gazeti
SERIKALI imekanusha taarifa zilizochapishwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari nchini kuhusu hali halisi ya vita dhidi ya ujangili ambazo chanzo chake ni gazeti la Daily Mail on Sunday la Uingereza na kuziita za uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu.
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Tucta yakerwa na Bajeti 2014/15
11 years ago
Habarileo11 May
Serikali yakerwa uchomaji makanisa
SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Serikali yakerwa sakata la Okwi