Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yakerwa na ziara ya Assad Moscow

Marekani imeishutumu Urusi kwa kumpa mapokezi ya taadhima Rais wa Syria Bashar al-Assad mjini Moscow.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Assad afanya ziara ya ghafla Moscow

Rais wa Syria Bashar al-Assad amefanya mashauriano na Rais wa Urusi Vladimir Putin baada yake kufanya ziara ya kushtukiza Moscow.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani hatimae itazungumza na Assad

John Kerry asema hatimae patakuwa hakuna budi ila kuzungumza na Rais Assad kumaliza vita Syria

 

10 years ago

Habarileo

Tahliso yakerwa kuingiliwa kisiasa

Mwenyekiti mpya wa TAHLISO,, Francisco John UONGOZI mpya wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso), umekerwa na mgogoro uliopo katika taasisi hiyo ambao umesababishwa na uongozi uliopita kuingiza itikadi za kisiasa ndani ya umoja huo.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakerwa uzushi wa gazeti

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu SERIKALI imekanusha taarifa zilizochapishwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari nchini kuhusu hali halisi ya vita dhidi ya ujangili ambazo chanzo chake ni gazeti la Daily Mail on Sunday la Uingereza na kuziita za uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu.

 

11 years ago

Mwananchi

Tucta yakerwa na Bajeti 2014/15

>Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limekosoa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/15, kutokana na kuongeza kodi ya bidhaa na kupunguza kwa asilimia moja tu kodi ya mishahara ya wafanyakazi (PAYE).

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakerwa uchomaji makanisa

SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakerwa sakata la Okwi

Serikali haikupendezwa na sakata la mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi huku ikitoa rai kwa wachezaji wa kigeni kuheshimu sheria, taratibu na kanuni za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) pamoja na lile la kimataifa, Fifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani