Serikali yakerwa sakata la Okwi
Serikali haikupendezwa na sakata la mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi huku ikitoa rai kwa wachezaji wa kigeni kuheshimu sheria, taratibu na kanuni za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) pamoja na lile la kimataifa, Fifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 May
Serikali yakerwa uchomaji makanisa
SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.
11 years ago
Habarileo11 Feb
Serikali yakerwa uzushi wa gazeti
SERIKALI imekanusha taarifa zilizochapishwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari nchini kuhusu hali halisi ya vita dhidi ya ujangili ambazo chanzo chake ni gazeti la Daily Mail on Sunday la Uingereza na kuziita za uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu.
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Simba kulipeleka sakata la Okwi Fifa
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba kama Yanga sakata la Okwi
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Simba waijia juu Yanga sakata la Okwi
NA SAADA AKIDA
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameibuka na kudai hana muda wa kuumiza kichwa juu ya madai ya klabu yaYanga, huku Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya timu hiyo, Zacharia Hanspope akiwapa onyo kuwa endapo watafungua kesi wahakikishe wana vielelezo sahihi.
Yanga ilitangaza kumfungulia kesi ya madai ya fidia Okwi, kwa kumtaka ailipe kiasi cha dola 2,100,000 kwa kuvunja mkataba na ada ya mazoezi, huku ikidai kulipeleka suala hilo Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3lmUatU1Qfhk87s3o*8OUdmLfZiPSBw7ezGWgGLwQxG*7gvk78t-RlmgWW*UzYAbM731CQwiAHnUSmMLIbfuP2/OKWI.jpg?width=650)
Sakata la kususa Yanga, Okwi aitaja Simba
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Soko la Mchikichini, sakata la bodaboda na Serikali ya JK
SIKU tatu zilizopita kuliripotiwa kuungua kwa soko la Mchikichini. Soko la Mchikichini lipo Manispaa ya Ilala, wafanyabiashara wengi katika soko hilo ni wamachinga. Wamachinga au wauzaji wa bidhaa katika eneo hilo wengi...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
SAKATA LA VIUNGO: Serikali yaingilia kati