Soko la Mchikichini, sakata la bodaboda na Serikali ya JK
SIKU tatu zilizopita kuliripotiwa kuungua kwa soko la Mchikichini. Soko la Mchikichini lipo Manispaa ya Ilala, wafanyabiashara wengi katika soko hilo ni wamachinga. Wamachinga au wauzaji wa bidhaa katika eneo hilo wengi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...
10 years ago
Habarileo15 Dec
Soko la Mchikichini kukarabatiwa
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imejitolea kukarabati miundombinu ya maji iliyoharibiwa kutokana na ajali ya moto iliyotokea katika Soko la Mchikichini, lililoungua hivi karibuni na kusababisha hasara ya mamilioni ya fedha.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Zungu apigania Soko la Mchikichini
MBUNGE wa Ilala, Musa Azzan ‘Zungu’, amesema atapinga kuhamishwa kwa Soko la Mchikichini hadi kiama. Zungu alitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati wa kikao cha madiwani cha kupitisha bajeti ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Moto wateketeza soko Mchikichini
NA WILLIAM SHECHAMBO
TAKRIBAN wafanyabiashara 10,000 wa soko la mitumba la Mchikichini lililoko Ilala, Dar es Salaam, wamepata hasara baada ya mali zao kuteketea kwa moto uliounguza soko hilo usiku wa kuamkia jana.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, moto huo ulizuka majira ya saa 4.00 usiku, kwenye vibanda vilivyoko eneo la katikati ya soko hilo.
Walisema muda mfupi baadae, moto huo ulishika kwenye vibanda vingine na kuanza kusambaa kwa kasi kutokana na uwepo wa bidhaa za nguo...
11 years ago
GPLSOKO LA MCHIKICHINI DAR LILILOVYOUNGUA MOTO
11 years ago
Habarileo12 Dec
‘Soko la Mchikichini livunjwe kuiokoa Machinga Complex’
BAADA ya Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, kubainisha upungufu uliopo katika Soko la Machinga Complex Ilala jijini Dar es Salaam ikiwemo soko hilo kujiendesha kwa hasara, baadhi ya wabunge wameshauri Serikali iangalie uwezekano wa kuvunja Soko la Mchikichini lililopo jirani.
11 years ago
CloudsFM12 Jun
MOTO ULIVYOTEKETEZA SOKO LA KARUME MCHIKICHINI,DAR
Pichani ni mwanga wa moto unaotoka ndani ya soko la mitumba la Karume lililopo maeneo ya Ilala jirani na Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam ambalo linateketea na moto usiku WA JANA.
Taarifa zinasema kuwa moto huo ulianza kidogo kidogo katika baadhi ya vibanda ambavyo wenye navyo walikuwa hawapo, kabla ya kushika kasi na kuteketeza kila kitu kilichopo kwenye eneo hilo.
11 years ago
GPL12 Jun
VIDEO: SOKO LA MCHIKICHINI DAR LILILOVYOUNGUA MOTO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PUG71oqygmI/U6Q4D1cDRSI/AAAAAAAFr8A/XduyKBNfJ6E/s72-c/Picha+na+1.jpg)
MFUKO WA KUWASIDIA WAFANYABIASHARA WALIOATHIRIWA NA MOTO SOKO LA MCHIKICHINI WAANZISHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-PUG71oqygmI/U6Q4D1cDRSI/AAAAAAAFr8A/XduyKBNfJ6E/s1600/Picha+na+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hr5LtVVK4xc/U6Q4Ea_TgzI/AAAAAAAFr8E/JUMLsqn3lDw/s1600/Picha+na+3.jpg)