Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahliso yakerwa kuingiliwa kisiasa

Mwenyekiti mpya wa TAHLISO,, Francisco John UONGOZI mpya wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso), umekerwa na mgogoro uliopo katika taasisi hiyo ambao umesababishwa na uongozi uliopita kuingiza itikadi za kisiasa ndani ya umoja huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa kisiasa waonywa kuitumia TAHLISO

MWENYEKITI mstaafu wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taaluma za Juu Tanzania (TAHLISO), Amon Chakushemeire, amesema jumuiya hiyo inaendeshwa kitaaluma na si kisiasa. Chakushemeire aliyasema hayo juzi jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Mwananchi

Apinga uhuru wa mahakama kuingiliwa

Wakati Bunge la Katiba likitarajiwa kuanza rasmi vikao vyake vya kujadili Rasimu ya Katiba Mpya, wadau wa mahakama wamepinga na kuonya kuhusu pendekezo la Jaji Mkuu na Naibu Jaji Mkuu kuthibitishwa na Bunge.

 

10 years ago

Mtanzania

TPA yaonya shughuli zao kuingiliwa

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema ni kinyume cha sheria namba 17 ya Bandari ya mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila kibali chao.

Kauli hiyo imekuja huku kukiwa na taarifa za kupotosha kuwa shughuli za TPA katika eneo la Mwambani zitafanywa na Kampuni ya Mwambani Port and Railway Corridor Company (MWAPORC).

Taarifa hizo zilihusisha mradi huo na shughuli za MWAPORC kuwa TPA...

 

10 years ago

Vijimambo

Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya


SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.

Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakerwa uchomaji makanisa

SERIKALI imetoa tamko juu ya mfululizo wa vitendo vya uchomaji makanisa vilivyoibuka hivi karibuni na kusema imeagiza dola ikaze uzi kukabili wimbi hilo. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana bungeni wakati akihitimisha michango ya wabunge kuhusu bajeti ya mwaka wa fedha 2014/15 ya ofisi yake iliyopitishwa jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Tucta yakerwa na Bajeti 2014/15

>Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limekosoa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/15, kutokana na kuongeza kodi ya bidhaa na kupunguza kwa asilimia moja tu kodi ya mishahara ya wafanyakazi (PAYE).

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakerwa sakata la Okwi

Serikali haikupendezwa na sakata la mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi huku ikitoa rai kwa wachezaji wa kigeni kuheshimu sheria, taratibu na kanuni za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) pamoja na lile la kimataifa, Fifa.

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakerwa uzushi wa gazeti

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu SERIKALI imekanusha taarifa zilizochapishwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari nchini kuhusu hali halisi ya vita dhidi ya ujangili ambazo chanzo chake ni gazeti la Daily Mail on Sunday la Uingereza na kuziita za uzushi, uongo na upotoshaji wa hali ya juu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yakerwa na ziara ya Assad Moscow

Marekani imeishutumu Urusi kwa kumpa mapokezi ya taadhima Rais wa Syria Bashar al-Assad mjini Moscow.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani