Apinga uhuru wa mahakama kuingiliwa
Wakati Bunge la Katiba likitarajiwa kuanza rasmi vikao vyake vya kujadili Rasimu ya Katiba Mpya, wadau wa mahakama wamepinga na kuonya kuhusu pendekezo la Jaji Mkuu na Naibu Jaji Mkuu kuthibitishwa na Bunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Uhuru wa Mahakama unadhoofishwa na serikali ya Kenya?
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-D4R7V9_hKII/VIGrGO9D8fI/AAAAAAAA-d0/rBMqHCZT7XY/s72-c/kenyatta_2576521b.jpg)
UHURU KENYATTA AFUTIWA MASHITAKA NA MAHAKAMA YA ICC
![](http://1.bp.blogspot.com/-D4R7V9_hKII/VIGrGO9D8fI/AAAAAAAA-d0/rBMqHCZT7XY/s640/kenyatta_2576521b.jpg)
Mwendesha mashitaka huyo, amesema kuwa katika kesi hiyo hakuna ushahidi uliokamilika wala kuimarika na kuthibitishwa kwa kiongozi huyo kutiwa hatiani kufuatia mashitaka yaliyowasishwa mahakamani hapo dhidi yake ya uhalifu wa kibinadamu.
Kenyatta na na Ruto walishitakiwa kama...
10 years ago
Vijimambo09 Oct
RAIS UHURU KENYATTA AWASILI NCHINI KENYA AKITOKEA MAHAKAMA YA ICC
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqINso9IOrPmLlqVl0yIlTAk1yewZeokjyeGN47s4jUoTMMTwkXOg3Q9*jmtoSWgEdUgZD46DdZH9DnYf9D8WGi5/uhuru.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqLc5vEf6GlX8XYTzO*LPeYakLjdpfAD9czsLoLUL8z93eGkwf4R9wOeX7ybfdMu9BrSm2W3WkDIFQYK9U9SkeqC/uhuru2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqIrSwh*5yfiwnpyQ7SNqGpvaW30MtWkwZ0GizbU1QbUBF71l0pTEOlLm6-pRClrG*lBq0VKPc-gWWpCfMk9blqi/uhuru3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqI3tmxlDyhQb9HQGuFFzu78XBt6w02Exg*tSz9Iz0KVvAUG9yesvaIuOmVf9kwPACxnMVOTSwLpS11tCoAsqyzb/uhuru4.jpg?width=650)
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya
Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Picha za mapokezi ya Rais Uhuru Kenyatta alipowasili kwenye mahakama ya uhalifu wa kivita The Hague
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta akisalimiana na baadhi ya raia wa Kenya wanaoishi nchini Uholanzi kabla ya kuingia kwenye mahakama hiyo. (Picha kwa hisani ya ukurasa wa facebook ya Rais Uhuru Kenyatta).
Na Mwandishi wetu
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewasili mjini Hague nchini Uholanzi, kuhudhuria kikao kuhusu kesi inayomkabili ya kukochechea na kufadhili machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.
Kikao hicho kitafanyika Jumatano wiki hii, na kinakuja baada ya upande wa mashtaka...
10 years ago
Habarileo21 Dec
Tahliso yakerwa kuingiliwa kisiasa
UONGOZI mpya wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso), umekerwa na mgogoro uliopo katika taasisi hiyo ambao umesababishwa na uongozi uliopita kuingiza itikadi za kisiasa ndani ya umoja huo.
10 years ago
Mtanzania18 Apr
TPA yaonya shughuli zao kuingiliwa
Na Faraja Masinde, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema ni kinyume cha sheria namba 17 ya Bandari ya mwaka 2004 kwa taasisi au mtu binafsi kuendeleza, kusimamia na kuendesha bandari yoyote nchini bila kibali chao.
Kauli hiyo imekuja huku kukiwa na taarifa za kupotosha kuwa shughuli za TPA katika eneo la Mwambani zitafanywa na Kampuni ya Mwambani Port and Railway Corridor Company (MWAPORC).
Taarifa hizo zilihusisha mradi huo na shughuli za MWAPORC kuwa TPA...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s72-c/4.png)
Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s640/4.png)
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.
Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA