UHURU KENYATTA AFUTIWA MASHITAKA NA MAHAKAMA YA ICC
![](http://1.bp.blogspot.com/-D4R7V9_hKII/VIGrGO9D8fI/AAAAAAAA-d0/rBMqHCZT7XY/s72-c/kenyatta_2576521b.jpg)
Mwendesha Mashitaka Mkuu Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu (ICC) Fatou Bensouda, leo amefuta mashitaka yaliyokuwa yakimkabili Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, katika kesi iliyokuwa ikiendeshwa na Mahakama hiyo.
Mwendesha mashitaka huyo, amesema kuwa katika kesi hiyo hakuna ushahidi uliokamilika wala kuimarika na kuthibitishwa kwa kiongozi huyo kutiwa hatiani kufuatia mashitaka yaliyowasishwa mahakamani hapo dhidi yake ya uhalifu wa kibinadamu.
Kenyatta na na Ruto walishitakiwa kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Oct
RAIS UHURU KENYATTA AWASILI NCHINI KENYA AKITOKEA MAHAKAMA YA ICC
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqINso9IOrPmLlqVl0yIlTAk1yewZeokjyeGN47s4jUoTMMTwkXOg3Q9*jmtoSWgEdUgZD46DdZH9DnYf9D8WGi5/uhuru.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqLc5vEf6GlX8XYTzO*LPeYakLjdpfAD9czsLoLUL8z93eGkwf4R9wOeX7ybfdMu9BrSm2W3WkDIFQYK9U9SkeqC/uhuru2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqIrSwh*5yfiwnpyQ7SNqGpvaW30MtWkwZ0GizbU1QbUBF71l0pTEOlLm6-pRClrG*lBq0VKPc-gWWpCfMk9blqi/uhuru3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqI3tmxlDyhQb9HQGuFFzu78XBt6w02Exg*tSz9Iz0KVvAUG9yesvaIuOmVf9kwPACxnMVOTSwLpS11tCoAsqyzb/uhuru4.jpg?width=650)
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya
Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...
10 years ago
Dewji Blog05 Dec
ICC wafuta mashitaka dhidi ya Kenyatta
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai iliyokua inamkabili Rais wa Kenya,Uhuru Kenyatta kutokana na kutokamilika kwa ushahidi.
Mwendesha mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79534000/jpg/_79534366_79534047.jpg)
ICC drops Uhuru Kenyatta charges
10 years ago
Vijimambo08 Oct
Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008075142_uhuru_kenyatta_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.
Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Kenyatta aipuzilia mbali mahakama ya ICC
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7LkJvE2exlE/VDQ_Gu7_1yI/AAAAAAADI6c/JotMyOr4T5c/s72-c/943537_926690674026153_1057254177514585802_n.jpg)
UHURU KENYATTA READY FOR ICC STATUS CONFERENCE
![](http://4.bp.blogspot.com/-7LkJvE2exlE/VDQ_Gu7_1yI/AAAAAAADI6c/JotMyOr4T5c/s1600/943537_926690674026153_1057254177514585802_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6s0LzQSAors/VDQ_EWvoqFI/AAAAAAADI5w/-vzXAPWWU0E/s1600/1012743_926692280692659_8849125309935646301_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u8zsDNCSgws/VDQ_Gu5JY_I/AAAAAAADI6Y/1aWnbiiEjE8/s1600/1904161_926692314025989_211108883165409401_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EdjYfrn-tFg/VDQ_EVCwcxI/AAAAAAADI50/T7znWMtIj_w/s1600/10408093_926692174026003_8236371780314141258_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gOe2qv6IFO8/VDQ_E9VzaoI/AAAAAAADI58/fEo6YcWV5v8/s1600/10483987_926690200692867_5167998627603301382_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mgcdag2GN1U/VDQ_FJ831HI/AAAAAAADI6A/_F_Sv9RGKUg/s1600/10520814_926692110692676_5434762743313180635_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ESPghFRCLSk/VDQ_FVgkE1I/AAAAAAADI6E/Z6B_dOjbyt4/s1600/10616642_926692214025999_1945202483339589692_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-10xxAwxPA2g/VDQ_FcsKaTI/AAAAAAADI6w/4hfPfGHgVP0/s1600/10629616_926689724026248_6838965652375119203_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Go0oHIzOQdU/VDQ_Foz1PVI/AAAAAAADI6I/PqEFVNRMmvM/s1600/10639657_926692370692650_3629890653636843205_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Rais Uhuru Kenyatta hana mashtaka ICC
10 years ago
TheCitizen24 Sep
Various angles to ICC case facing Uhuru Kenyatta