Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UHURU KENYATTA READY FOR ICC STATUS CONFERENCE

I traveled this morning for the Netherlands where I will be attending the ICC Status Conference. We have just touched down in Schiphol. TOUCHED DOWN IN SCHIPHOL

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

ICC set to discuss Uhuru’s case status

>The fate of President Uhuru Kenyatta’s case in The Hague is likely to be determined on Wednesday when the status of the charges facing him are discussed.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amefika mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC huko Hague, ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu.

Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.

Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC

 

10 years ago

BBC

ICC drops Uhuru Kenyatta charges

Prosecutors at the International Criminal Court in The Hague say they are withdrawing charges against Kenyan President Uhuru Kenyatta.

 

10 years ago

Vijimambo

UHURU KENYATTA AFUTIWA MASHITAKA NA MAHAKAMA YA ICC

Mwendesha Mashitaka Mkuu Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu (ICC) Fatou Bensouda, leo amefuta mashitaka yaliyokuwa yakimkabili Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, katika kesi iliyokuwa ikiendeshwa na Mahakama hiyo.

Mwendesha mashitaka huyo, amesema kuwa katika kesi hiyo hakuna ushahidi uliokamilika wala kuimarika na kuthibitishwa kwa kiongozi huyo kutiwa hatiani kufuatia mashitaka yaliyowasishwa mahakamani hapo dhidi yake ya uhalifu wa kibinadamu.

Kenyatta na na Ruto walishitakiwa kama...

 

10 years ago

TheCitizen

Various angles to ICC case facing Uhuru Kenyatta

On 5 September 2014, after years of digging in their heels, the International Criminal Court (ICC) prosecution further asserted that without co-operation from the Kenyan government, the trial against President Uhuru Kenyatta cannot proceed.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Uhuru Kenyatta hana mashtaka ICC

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Kamau azungumzia uamuzi wa ICC kuhusu Rais Uhuru Kenyatta

a
Mwakilishi wa kudumu wa Kenya katika Umoja wa Mataifa Balozi Macharia Kamau.(Picha ya UM/Mark Garten)Siku ya Ijumaa tarehe Tano Disemba mwaka 2014, mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC huko The Hague, Uholanzi ilitupilia mbali mashtaka dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. Mwendesha Mashtaka Mkuu Fatou Bensouda alieleza kuwa uamuzi huo unazingatia kuwa hawana ushahidi wa kutosha wa kuweza kuthibisha pasipo shaka mashtaka matano yaliyokuwa yanamkabili Kenyatta. Kufuatia uamuzi huo, Joseph...

 

10 years ago

Michuzi

Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda

Kiongozi wa mshataka katika mahakama 
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda

Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS UHURU KENYATTA AWASILI NCHINI KENYA AKITOKEA MAHAKAMA YA ICC

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya (kushoto) akilakiwa na Makamau wa Rais, William Ruto alipowasili JKIA leo alfajiri akitokea The Hague.Rais Uhuru Kenyatta pamoja na Mkewe wakisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa waliofika kuwapokea mara tu alipowasili toka kwenye mahama ya ICC na yeye kuwa kiongozi wa kwanza akiwa madarakani kushitakiwa na mahakama hiyo.Rais Uhuru Kenyatta na mkwewe wakisalimiana na viongozi mbalimbaliRais Uhuru Kenyatta na mkewe wakiendelea kusalimiana na viongozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani