UHURU KENYATTA READY FOR ICC STATUS CONFERENCE
![](http://4.bp.blogspot.com/-7LkJvE2exlE/VDQ_Gu7_1yI/AAAAAAADI6c/JotMyOr4T5c/s72-c/943537_926690674026153_1057254177514585802_n.jpg)
I traveled this morning for the Netherlands where I will be attending the ICC Status Conference. We have just touched down in Schiphol.
TOUCHED DOWN IN SCHIPHOL
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen03 Feb
ICC set to discuss Uhuru’s case status
>The fate of President Uhuru Kenyatta’s case in The Hague is likely to be determined on Wednesday when the status of the charges facing him are discussed.
10 years ago
Vijimambo08 Oct
Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008075142_uhuru_kenyatta_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.
Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79534000/jpg/_79534366_79534047.jpg)
ICC drops Uhuru Kenyatta charges
Prosecutors at the International Criminal Court in The Hague say they are withdrawing charges against Kenyan President Uhuru Kenyatta.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-D4R7V9_hKII/VIGrGO9D8fI/AAAAAAAA-d0/rBMqHCZT7XY/s72-c/kenyatta_2576521b.jpg)
UHURU KENYATTA AFUTIWA MASHITAKA NA MAHAKAMA YA ICC
![](http://1.bp.blogspot.com/-D4R7V9_hKII/VIGrGO9D8fI/AAAAAAAA-d0/rBMqHCZT7XY/s640/kenyatta_2576521b.jpg)
Mwendesha mashitaka huyo, amesema kuwa katika kesi hiyo hakuna ushahidi uliokamilika wala kuimarika na kuthibitishwa kwa kiongozi huyo kutiwa hatiani kufuatia mashitaka yaliyowasishwa mahakamani hapo dhidi yake ya uhalifu wa kibinadamu.
Kenyatta na na Ruto walishitakiwa kama...
10 years ago
TheCitizen24 Sep
Various angles to ICC case facing Uhuru Kenyatta
On 5 September 2014, after years of digging in their heels, the International Criminal Court (ICC) prosecution further asserted that without co-operation from the Kenyan government, the trial against President Uhuru Kenyatta cannot proceed.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Rais Uhuru Kenyatta hana mashtaka ICC
Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
10 years ago
Michuzi07 Dec
Balozi Kamau azungumzia uamuzi wa ICC kuhusu Rais Uhuru Kenyatta
a
Mwakilishi wa kudumu wa Kenya katika Umoja wa Mataifa Balozi Macharia Kamau.(Picha ya UM/Mark Garten)Siku ya Ijumaa tarehe Tano Disemba mwaka 2014, mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC huko The Hague, Uholanzi ilitupilia mbali mashtaka dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. Mwendesha Mashtaka Mkuu Fatou Bensouda alieleza kuwa uamuzi huo unazingatia kuwa hawana ushahidi wa kutosha wa kuweza kuthibisha pasipo shaka mashtaka matano yaliyokuwa yanamkabili Kenyatta. Kufuatia uamuzi huo, Joseph...
![Macharia kamau](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/k294ObMj-v_yMyCiLy6AcaaySYJcJDWPavlXWLjWRh_GHUfqZxEY4K-fbMqrTmCvpqNBHfaYcSKBGnpX9E-ZUYvGxd-BXOxLTDavLadkWZnPbCsrKsYRO0mDuSmHV1C0eVE8tGv-wqI4D_32ukkh6ANXYuK9nDpC3g=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/10/Macharia-kamau-2-300x257.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Dec
Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda
![](https://2.bp.blogspot.com/-xqIaKTncqn4/VH_cFnF7ajI/AAAAAAABzYY/efKUwoaBj0c/s1600/141008160241_kenya_icc_640x360_bbc_nocredit.jpg)
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda
Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...
10 years ago
Vijimambo09 Oct
RAIS UHURU KENYATTA AWASILI NCHINI KENYA AKITOKEA MAHAKAMA YA ICC
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqINso9IOrPmLlqVl0yIlTAk1yewZeokjyeGN47s4jUoTMMTwkXOg3Q9*jmtoSWgEdUgZD46DdZH9DnYf9D8WGi5/uhuru.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqLc5vEf6GlX8XYTzO*LPeYakLjdpfAD9czsLoLUL8z93eGkwf4R9wOeX7ybfdMu9BrSm2W3WkDIFQYK9U9SkeqC/uhuru2.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqIrSwh*5yfiwnpyQ7SNqGpvaW30MtWkwZ0GizbU1QbUBF71l0pTEOlLm6-pRClrG*lBq0VKPc-gWWpCfMk9blqi/uhuru3.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/4Ejr0qlHpqI3tmxlDyhQb9HQGuFFzu78XBt6w02Exg*tSz9Iz0KVvAUG9yesvaIuOmVf9kwPACxnMVOTSwLpS11tCoAsqyzb/uhuru4.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania