Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wibert Molandi KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameungana na Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoshindwa kutumia vyema nafasi nyingi inazopata uwanjani. Phiri ndiye alikuwa kocha wa kwanza kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Mganda, Emmanuel Okwi, Amissi Tambwe na Paul Kiongera.Safu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Sep
Phiri: Okwi ana deni kubwa kwa wanasimba
11 years ago
Mwananchi16 Sep
Phiri: Jaja ni mtu hatari
11 years ago
GPL
Phiri alikimbia bao la Jaja Taifa
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
11 years ago
Mwananchi30 Aug
Maximo atetea uwezo wa Jaja
11 years ago
Mtanzania05 Sep
Maximo amkingia kifua Jaja

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amemkingia kifua mchezaji wake, Mbrazil Genilson Santos ‘Jaja’ kwa kuwataka mashabiki wasitegemee vitu vingi kutoka kwa wachezaji warefu kwani wana vitu vichache vyenye mafanikio.
Maximo aliyasema hayo juzi baada ya mechi yao ya kirafiki dhidi ya Thika United ya nchini Kenya iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 lilofungwa na Jaja,...
11 years ago
GPL
Maximo, Phiri uso kwa uso Zanzibar
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Maximo awaongezea ‘sumu’ Jaja, Tegete
11 years ago
Mwananchi18 Aug
‘Maximo, Phiri tuwape muda’