Phiri: Jaja ni mtu hatari
Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema nyota wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’ ni mshambuliaji hatari na mwenye akili nyingi anapofika golini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7AlsGHXKui568KBLrnmnSxVU1-Az5hM3GhFTIym0Gnyvr1LQ0HhYs8Jf*KhE5kwwb8GEnbn7qnFhDM1AVf4mTrS/PATRICK.jpg?width=650)
Phiri alikimbia bao la Jaja Taifa
Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Wibert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, wikiendi iliyopita alipishana na bao kali lililofungwa kiufundi na Geilson Santos Santana ‘Jaja’ na lingine la kiungo mshambuliaji, Simon Msuva. Mzambia huyo, alipishana na mabao hayo wakati alipokwenda kuushuhudia mpambano wa Ngao ya Jamii uliowakutanisha wapinzani wao Yanga na Azam FC uliomalizika kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPVaQeT-BmUYyWOppPglguJBJLpYYzKWbHpxW6-IuuyFky5agocfPQVB5SStn*lJ0ELCahwDCJD*i4zvdqFKaKvj/maxi.jpg)
Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi
Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wibert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameungana na Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoshindwa kutumia vyema nafasi nyingi inazopata uwanjani. Phiri ndiye alikuwa kocha wa kwanza kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Mganda, Emmanuel Okwi, Amissi Tambwe na Paul Kiongera.Safu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg8f2srZ1ARfPWz3CkNKSQYNAKjBC5PUN*E0vQMjtelQm960iKMQpSPLEm-4sEB4jbSKr-0LjuwdKmub7lre49zk/23.jpg?width=650)
Mgosi: Jaja akizoea Bongo atakuwa hatari
Straika wa Yanga, Mbrazili, Geilson Santana ‘Jaja’. Na Alpha Amos
STRAIKA wa Mtibwa Sugar ya mkoani Morogoro, Mussa Hassan Mgosi, amemtabiria makubwa straika wa Yanga, Mbrazili, Geilson Santana ‘Jaja’ kwa kusema atakuwa mchezaji mzuri pindi atakapozoea mazingira ya Tanzania na viwanja nyake. Jumamosi iliyopita, Mgosi aliifungia timu yake bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga, huku Jaja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjVwtRkM2AJt5DcLJvD4kOpr0f*S08KVkY7GM7FUNDWVxb-J3QJq-obJ41slfm5F6AvZQflgU5VpXaIEPHO-C7IG/phili.jpg)
Phiri atoa saa 336 first eleven ya hatari Simba
Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Waandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, ametoa wiki mbili au dakika 336 kabla ya kupata first eleven ya hatari itakayompa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu ujao. Phiri aliyetua Simba wiki iliyopita kuchukua mikoba ya Mcroatia, Zdravko Logarusic na Championi likawa gazeti la kwanza kuandika, yupo kisiwani Zanzibar akiendelea kuinoa timu hiyo. Phiri aliyeipa Simba...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mtu hatari katika kupanga matokeo ya soka
Alianza taratibu kazi ya kupanga matokeo ya mechi za soka katika ligi ndogo kabla ya kuingia katika ngazi ya kimataifa na kuingizia mamilioni ya Dola za Marekani.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-t6K-FLpHEVI/VXKb3AXCj7I/AAAAAAAA0pQ/96bU5J9C4uU/s72-c/11053258_384687071716473_6193265198379896636_n.jpg)
11 years ago
MichuziBARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7l-wHj5OnnlF5cRYGvWkpSl4m9PC1BWWJURUBuG7NCe3C-dWORDwz6afU38SaEyBzCNWgziybt560lUa1j5zMqi/MYGODZ.jpg)
MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU
Stori:Â Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...
9 years ago
Bongo522 Oct
Music: Mtu Chee Ft Jux,Deddy — Mtu Tatu
Rappers wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy na Young Killer wameachia wimbo mpya unaitwa “Mtu Tatu” wamewashirikisha Jux na Deddy Studio Kiri Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania