‘Maximo, Phiri tuwape muda’
Makocha wa zamani wa Taifa Stars, Joel Bendera na Mshindo Msolla wamesema ujio wa Marcio Maximo na Patrick Phiri katika klabu za Simba na Yanga utakuwa na manufaa kama viongozi wa timu hizo wataachwa wafanye kazi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Phiri, Maximo waanza tambo
 Kocha wa Simba, Patrick Phiri na mwenzake wa Yanga, Marcio Maximo kila moja amejigamba kumtoa nishai mwenzake wakati wa mechi ya Nani Mtani Jembe itakayopigwa Desemba 13, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*HIcgVP6adM9XdtD-1n8paYr8cak-aljJ4nSoCvrwn79LOdN9fyolu04xWt4N3SoBH-78OwZ0OPFiamZNiZk*3/2.jpg?width=650)
Maximo,Phiri hofu tupu
SIMBA ilipata sare, Yanga ikala kichapo, matokeo hayo yalikuwa ni katika mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu Bara wikiendi iliyopita, habari ni kuwa sasa makocha wa timu hizo wapo kwenye presha kubwa ya kuhakikisha wanapata ushindi katika mechi za wikiendi hii kwenye ligi hiyo. Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo. Kocha wa Yanga, Marcio Maximo, yupo kwenye presha kubwa kutoka kwa mashabiki wake ambapo ili kupata ushindi, amewapa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPVaQeT-BmUYyWOppPglguJBJLpYYzKWbHpxW6-IuuyFky5agocfPQVB5SStn*lJ0ELCahwDCJD*i4zvdqFKaKvj/maxi.jpg)
Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi
Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wibert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameungana na Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoshindwa kutumia vyema nafasi nyingi inazopata uwanjani. Phiri ndiye alikuwa kocha wa kwanza kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Mganda, Emmanuel Okwi, Amissi Tambwe na Paul Kiongera.Safu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIRzV3y-jSzpK5bJX1cU6cXxXCjXWZC3TIYzuZxn5beOWj*ctbrJjHim0Gq-DU11wazP0EKpIY*L0qDl*D59Nu-/1.jpg)
Maximo, Phiri uso kwa uso Zanzibar
Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
MAKOCHA wa klabu kongwe na pinzani za Simba na Yanga, keshokutwa Jumapili kila mmoja atatumia muda wake kwa ajili ya kusoma mbinu za mwenzake ndani ya uwanja mmoja. Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa makocha hao kukutana kwenye uwanja mmoja ambapo Yanga inanolewa na Mbrazili, Marcio Maximo huku Simba ikifundishwa na Mzambia, Patrick Phiri. Timu zote zinatarajiwa...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Maximo kamili, Phiri bado bado
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amejigamba kuwa kikosi chake kipo tayari kila idara kwa Ligi Kuu Bara, lakini mwenzake Patrick Phiri wa Simba ana kazi ya kuimarisha ubora katika safu yake ya ulinzi.
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Wanaosema imekushinda tuwape majibu!
RAIS wangu mara kadhaa sasa umekuwa ukisikika ukisema, wako watu wanakwambia kuwa nchi imekushinda. Ni vema angalau kauli hii imekugusa mpaka moyoni. Umeisikia mwenyewe na mwenyewe umeisema hadharani, si mara moja...
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Nchi nzuri kama hii tuwape matapeli - 1?
Tanzania ni nchi nzuri sana, nchi iliyowakuza babu zetu na kizazi kilichopita, nchi iliyowalea wazee wetu na watu muhimu kwetu, nchi iliyowaleta mama zetu na kufanikisha malezi yetu katika amani ya kudumu, nchi hii ni nzuri sana na haiwezi kukabidhiwa kwa watu wenye nia ovu.
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJNOHnEFedmYb*i-NgiihTt1*X9s-EWat-r9f5PNDaYuVahjq6KnGf4rqoGuMfhzYuPzFiBNVwberYy1Y8aO9cuR/phili.jpg)
Kwaheri phiri
Kocha Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri, jana alioondoka nchini kuelekea Zambia kwa mapumziko ya wiki moja, baada ya Ligi Kuu Bara kusimama kupisha michuano ya Cecafa iliyopangwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Mzambia huyo, anarejea kwao baada ya kukabidhi ripoti ya raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara kwa Kamati ya Utendaji ya Simba, iliyokutana hivi karibuni na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania