Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maximo kamili, Phiri bado bado

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amejigamba kuwa kikosi chake kipo tayari kila idara kwa Ligi Kuu Bara, lakini mwenzake Patrick Phiri wa Simba ana kazi ya kuimarisha ubora katika safu yake ya ulinzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Phiri: Mimi bado kocha bora

Kocha wa Simba, Patrick Phiri amesema yeye ni kocha bora licha ya timu yake kupata sare sita msimu huu na kama atafukuzwa, basi ni kwa utashi wa viongozi wa klabu hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

maximo bado anakumbukwa

Dakta Victor Stanculescu wa Romania, Tambwe Leya wa DRC Marcio Maximo  wa Brazil ni majina ya makocha ambayo hayatasahaulika nchini Tanzania. Victor alipata umaarufu kwa falsafa yake ya kukuza vipaji kwa vijana na akafanikiwa sana pale alipotengeneza nyota wengi kwa timu hiyo na Taifa Stars, Tambwe Leya anakumbukwa kwa falsafa yake ya nidhamu na bidii mazoezini. Maximo hatosahaulika kwa kuamsha ari ya soka na kuifanya Taifa Stars ipendwe na wananchi kama kwamba ni klabu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam kamili, Mzungu Yanga bado

>Wakati kocha wa Azam FC, Joseph Omog akitamba kupata kila kitu pamoja na mikanda ya video ya Feroviarrio, mwenzake wa Yanga, Hans Van Pluijm, amekiri kwamba hajui lolote kuhusu wapinzani wao Commorozine.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahariri: Mimba ya Aunt Ezekiel bado bado sana, blogs zitafute ukweli kwanza na sio kukurupuka

AUNT1

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Huenda nawe umezisikia taarifa zilizozagaa kwenye mitandao yaa kijaamii na kwingineko juu ya kuwa star mwenye mvuto wa asili anayetikisa Bongo kwa filamu mbalimbali, Msanii  wa kike, Aunt Ezekiel ambaye kwa sasa ni mjamzito, amejifungua?.

Kwa  taarifa za uhakika kutoka katikaa moja ya mtandao wa kijamii wa Global Publisher inayokubalika hapa nchini (http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/aunt-ezekiel-akanusha-taarifa-za-kujifungua-asema-video-ya) ...

 

10 years ago

Michuzi

uzi wa wenzetu, sie bado bado kwanza...

 Uganda  Kenya Burundi Rwanda

 

11 years ago

GPL

Maximo,Phiri hofu tupu

SIMBA ilipata sare, Yanga ikala kichapo, matokeo hayo yalikuwa ni katika mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu Bara wikiendi iliyopita, habari ni kuwa sasa makocha wa timu hizo wapo kwenye presha kubwa ya kuhakikisha wanapata ushindi katika mechi za wikiendi hii kwenye ligi hiyo. Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo. Kocha wa Yanga, Marcio Maximo, yupo kwenye presha kubwa kutoka kwa mashabiki wake ambapo ili kupata ushindi, amewapa...

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri, Maximo waanza tambo

 Kocha wa Simba, Patrick Phiri na mwenzake wa Yanga, Marcio Maximo kila moja amejigamba kumtoa nishai mwenzake wakati wa mechi ya Nani Mtani Jembe itakayopigwa Desemba 13, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Maximo, Phiri tuwape muda’

Makocha wa zamani wa Taifa Stars, Joel Bendera na Mshindo Msolla wamesema ujio wa Marcio Maximo na  Patrick Phiri katika klabu za Simba na Yanga utakuwa na manufaa kama viongozi wa timu hizo wataachwa wafanye kazi yao.

 

11 years ago

GPL

Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wibert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameungana na Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoshindwa kutumia vyema nafasi nyingi inazopata uwanjani. Phiri ndiye alikuwa kocha wa kwanza kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Mganda, Emmanuel Okwi, Amissi Tambwe na Paul Kiongera.Safu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani