Phiri, Maximo waanza tambo
 Kocha wa Simba, Patrick Phiri na mwenzake wa Yanga, Marcio Maximo kila moja amejigamba kumtoa nishai mwenzake wakati wa mechi ya Nani Mtani Jembe itakayopigwa Desemba 13, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo09 Sep
Makocha waanza tambo
MAKOCHA wa timu za Ligi Kuu ya Tanzania Bara wameanza kutoa tambo kuelekea katika mechi za ufunguzi za msimu wa 2015-2016 mwishoni mwa wiki.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxiL2qxw5OmfOWz0QwcSOnNbsx7o1*RRBGmUKVDJhsAkuyiH7G4oXdzj*CmU6H3vLPMIVCYnnsBZnZ1*T*Vm55L8/w44.jpg?width=650)
MAWAZIRI WAANZA KWA TAMBO
Mhe. Mwigulu Lameck NCHEMBA Naibu Waziri wa Fedha na Mhe. Adam Kighoma Ali MALIMA (Mb) Naibu Waziri wa Fedha na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya fedha. (PICHA NA IKULU) MAWAZIRI na manaibu waziri walioteuliwa kushika nafasi mbalimbali jana waliapishwa na Rais Jakaya Kikwete katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, huku baadhi yao wakianza na tambo za uwajibikaji na wengine wakiomba ushirikiano wa karibu kutoka kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*HIcgVP6adM9XdtD-1n8paYr8cak-aljJ4nSoCvrwn79LOdN9fyolu04xWt4N3SoBH-78OwZ0OPFiamZNiZk*3/2.jpg?width=650)
Maximo,Phiri hofu tupu
SIMBA ilipata sare, Yanga ikala kichapo, matokeo hayo yalikuwa ni katika mechi za ufunguzi wa Ligi Kuu Bara wikiendi iliyopita, habari ni kuwa sasa makocha wa timu hizo wapo kwenye presha kubwa ya kuhakikisha wanapata ushindi katika mechi za wikiendi hii kwenye ligi hiyo. Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo. Kocha wa Yanga, Marcio Maximo, yupo kwenye presha kubwa kutoka kwa mashabiki wake ambapo ili kupata ushindi, amewapa...
10 years ago
Mwananchi18 Aug
‘Maximo, Phiri tuwape muda’
Makocha wa zamani wa Taifa Stars, Joel Bendera na Mshindo Msolla wamesema ujio wa Marcio Maximo na Patrick Phiri katika klabu za Simba na Yanga utakuwa na manufaa kama viongozi wa timu hizo wataachwa wafanye kazi yao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPVaQeT-BmUYyWOppPglguJBJLpYYzKWbHpxW6-IuuyFky5agocfPQVB5SStn*lJ0ELCahwDCJD*i4zvdqFKaKvj/maxi.jpg)
Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi
Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wibert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, ameungana na Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoshindwa kutumia vyema nafasi nyingi inazopata uwanjani. Phiri ndiye alikuwa kocha wa kwanza kuilalamikia safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Mganda, Emmanuel Okwi, Amissi Tambwe na Paul Kiongera.Safu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIRzV3y-jSzpK5bJX1cU6cXxXCjXWZC3TIYzuZxn5beOWj*ctbrJjHim0Gq-DU11wazP0EKpIY*L0qDl*D59Nu-/1.jpg)
Maximo, Phiri uso kwa uso Zanzibar
Kocha mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
MAKOCHA wa klabu kongwe na pinzani za Simba na Yanga, keshokutwa Jumapili kila mmoja atatumia muda wake kwa ajili ya kusoma mbinu za mwenzake ndani ya uwanja mmoja. Hiyo itakuwa mara ya kwanza kwa makocha hao kukutana kwenye uwanja mmoja ambapo Yanga inanolewa na Mbrazili, Marcio Maximo huku Simba ikifundishwa na Mzambia, Patrick Phiri. Timu zote zinatarajiwa...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Maximo kamili, Phiri bado bado
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amejigamba kuwa kikosi chake kipo tayari kila idara kwa Ligi Kuu Bara, lakini mwenzake Patrick Phiri wa Simba ana kazi ya kuimarisha ubora katika safu yake ya ulinzi.
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Mourinho aanza tambo:
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema matokeo ya timu yake dhidi ya West Brom yatawanyima raha wabaya wao.
11 years ago
GPLSTARS, ZIMBAMBWE TAMBO NZITO
Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura (katikati mwenye kofia) akitambusha viongozi wa timu ya taifa ya Zimbambwe. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Msafara Piraisne Mabnena, Kocha msaidizi Kalisto Pasuwa na meneja wa timu Sharif Mussa. Pasuwa (katikati) akitamba kuiangamiza Stars kesho na kujiweka katika mazingira mazuri ya kufuzu hatua ya kwanza katika mbio za tiketi za kucheza kombe la Afrika mwakani, nchini… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania