Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho aanza tambo:

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema matokeo ya timu yake dhidi ya West Brom yatawanyima raha wabaya wao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tambwe sasa aanza tambo

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ametangaza vita kwa washambuliaji Donald Ngoma, Hamis Kiiza na Elias Maguli ya kuwania tuzo ya mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Hall aanza tambo

Kocha wa Azam, Stewart Hall amesema anajua ubora wa wapinzani wao Simba, lakini haoni kama watapona dhidi yao Jumamosi.

 

9 years ago

Habarileo

Makocha waanza tambo

MAKOCHA wa timu za Ligi Kuu ya Tanzania Bara wameanza kutoa tambo kuelekea katika mechi za ufunguzi za msimu wa 2015-2016 mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri, Maximo waanza tambo

 Kocha wa Simba, Patrick Phiri na mwenzake wa Yanga, Marcio Maximo kila moja amejigamba kumtoa nishai mwenzake wakati wa mechi ya Nani Mtani Jembe itakayopigwa Desemba 13, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

MAWAZIRI WAANZA KWA TAMBO

Mhe. Mwigulu Lameck NCHEMBA Naibu Waziri wa Fedha na Mhe. Adam Kighoma Ali MALIMA (Mb) Naibu Waziri wa Fedha na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya fedha. (PICHA NA IKULU) MAWAZIRI na manaibu waziri walioteuliwa kushika nafasi mbalimbali jana waliapishwa na Rais Jakaya Kikwete katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, huku baadhi yao wakianza na tambo za uwajibikaji  na wengine wakiomba ushirikiano wa karibu kutoka kwa...

 

10 years ago

GPL

TAMBO BATULI AMLIPUA MTUNIS

STAA wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwigizaji Nice Mohammed ‘Mtunis’, amemchana zilipendwa wake huyo kwa kumwambia hana mvuto! Staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli. Kuonesha msisitizo, Batuli alisema kwa Mtunis ilikuwa ni kama daraja tu, alishapita hivyo hana mpango naye tena kwani tayari amepata mchumba wa Kizungu, raia wa nchi moja...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli, Lowassa waendeleza tambo

Wagombea urais jana walikuwa miongoni mwa mamilioni ya Watanzania waliojitokeza kupiga kura, huku Dk John Magufuli wa CCM na Edward Lowassa wakiendeleza tambo za ushindi.

 

10 years ago

Mwananchi

Dafrao ya mgawo na tambo za Rambo

Mmmmmh! Yaani sina budi kuwasifu waheshimiwa wanene wetu, maana kweli akili yao inazidi ya kwetu. Hebu fikiria. Walipotuambia kwamba mgao itakuwa historia, tulijua maana yake ni kwamba hakutakuwa na mgawo wa umeme tenda. Kumbe walikuwa wanamaanisha kwamba watafanya mgao wa kihistoria ndani ya marambo.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam tambo tupu

TAMBO baina ya timu za Yanga na Azam FC zinazotarajiwa kukutana keshokutwa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jijini Dar es Salaam zimeshika kasi, huku kila moja ikitamba kuibuka na ushindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani