Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAWAZIRI WAANZA KWA TAMBO

Mhe. Mwigulu Lameck NCHEMBA Naibu Waziri wa Fedha na Mhe. Adam Kighoma Ali MALIMA (Mb) Naibu Waziri wa Fedha na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya fedha. (PICHA NA IKULU) MAWAZIRI na manaibu waziri walioteuliwa kushika nafasi mbalimbali jana waliapishwa na Rais Jakaya Kikwete katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, huku baadhi yao wakianza na tambo za uwajibikaji  na wengine wakiomba ushirikiano wa karibu kutoka kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Makocha waanza tambo

MAKOCHA wa timu za Ligi Kuu ya Tanzania Bara wameanza kutoa tambo kuelekea katika mechi za ufunguzi za msimu wa 2015-2016 mwishoni mwa wiki.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri, Maximo waanza tambo

 Kocha wa Simba, Patrick Phiri na mwenzake wa Yanga, Marcio Maximo kila moja amejigamba kumtoa nishai mwenzake wakati wa mechi ya Nani Mtani Jembe itakayopigwa Desemba 13, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Mawaziri wa SADC Waanza jijini Harare

Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe, Mhe, Simbarashe Mumbengegwi akifungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) unaojadili Mkakati na Mwongozo wa kuelekea Maendeleo ya Viwanda katika Kanda ya SADC. Mhe. Mumbengegwi amefungua mkutano huo jijini Harare, Zimbabwe  huku akiwa na huzuni kubwa kufuatia taarifa ya kifo cha Bregedia Jenereli Hashim Mbita ambaye alitoa mchango mkubwa katika ukombozi  wa nchi za Kusini mwa Afrika. Mhe. Mumbengegwi...

 

5 years ago

Michuzi

MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA SADC NGAZI YA MAKATIBU WAKUU WAANZA

MKUTANO wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya yaMaendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umefanyika leo jijini Dar es Salaam kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)  Mkutano huo umefunguliwa na
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Maafisa Waandamizi/ Makatibu Wakuu, Balozi Kanali Wilbert Ibuge Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Wajumbe wengine ni waliohudhuria ni Katibu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa SADC Waanza jijini Harare

Na Mwandishi wa Wizaraya Mambo ya Nje.Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wameanza kikao cha siku mbili jijini Harare, Zimbabwe leo kufanya matayarisho ya Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya hiyo, utakaofanyika hapo tarehe 29 Aprili, 2015.

Kikao cha Mawaziri, kinachoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe, Mhe. Dkt. Simbarashe Mumbengegwi, kinatayarisha agenda ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi, ambao utajikita kwenye Mpango Mkakati wa Maendeleo ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi Ndizo Tambo za Asha Boko Kwa Komediani wa Hapa Bongo

Staa wa Bongo Movies ambaye ni moja kati ya wachekeshaji wakongwe, Asha Boko ametamba kuwa hakuna mchekeshaji bora wa kike kama yeye Bongo bali kuna wanao jaribu lakini si kuigiza nafasi ya ucheshi kama yeye kwnai hadi sasa hajaona kabisa msanii mwenye uwezo kama alionao yeye kwa Afrika Mashariki anataka wajitokeze zaidi apate mpinzani.

“Hakuna kama Asha Boko katika sekta hiyo muhimu ya uchekeshaji ni mimi pekee yangu sioni mpinzani kabisa angalau kidogo Dogo Tausi Mdegela anajaribu kuja...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho aanza tambo:

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amesema matokeo ya timu yake dhidi ya West Brom yatawanyima raha wabaya wao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Barcelona waanza kwa ushindi

Mabingwa watetezi Barcelona wameanza msimu mpya wa ligi ya Hispania baada ya kuishinda Athletic Bilbao kwa bao moja kwa bila.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani