Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


maximo bado anakumbukwa

Dakta Victor Stanculescu wa Romania, Tambwe Leya wa DRC Marcio Maximo  wa Brazil ni majina ya makocha ambayo hayatasahaulika nchini Tanzania. Victor alipata umaarufu kwa falsafa yake ya kukuza vipaji kwa vijana na akafanikiwa sana pale alipotengeneza nyota wengi kwa timu hiyo na Taifa Stars, Tambwe Leya anakumbukwa kwa falsafa yake ya nidhamu na bidii mazoezini. Maximo hatosahaulika kwa kuamsha ari ya soka na kuifanya Taifa Stars ipendwe na wananchi kama kwamba ni klabu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LUCKY DUBE; MIAKA 8 IMEPITA, BADO ANAKUMBUKWA

 Lejendari wa Reggae, marehemu Lucky Dube enzi za uhai wake. JANA Oktoba 18, ilikuwa ni kumbukumbu ya miaka nane tangu kuuawa kwa lejendari wa Reggae, Lucky Dube, aliyeuawa nyumbani kwao Afrika Kusini ‘Sauz’ Oktoba 18, 2007.Lakini licha ya kupita miaka nane, nyimbo za gwiji huyo bado hazichoshi ukizisikiliza na anabaki kuwa kwenye kumbukumbu milele. Dube alitokea wapi? Dube alizaliwa Agosti 3, mwaka 1964 katika Mji wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Maximo kamili, Phiri bado bado

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amejigamba kuwa kikosi chake kipo tayari kila idara kwa Ligi Kuu Bara, lakini mwenzake Patrick Phiri wa Simba ana kazi ya kuimarisha ubora katika safu yake ya ulinzi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahariri: Mimba ya Aunt Ezekiel bado bado sana, blogs zitafute ukweli kwanza na sio kukurupuka

AUNT1

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Huenda nawe umezisikia taarifa zilizozagaa kwenye mitandao yaa kijaamii na kwingineko juu ya kuwa star mwenye mvuto wa asili anayetikisa Bongo kwa filamu mbalimbali, Msanii  wa kike, Aunt Ezekiel ambaye kwa sasa ni mjamzito, amejifungua?.

Kwa  taarifa za uhakika kutoka katikaa moja ya mtandao wa kijamii wa Global Publisher inayokubalika hapa nchini (http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/aunt-ezekiel-akanusha-taarifa-za-kujifungua-asema-video-ya) ...

 

10 years ago

Michuzi

uzi wa wenzetu, sie bado bado kwanza...

 Uganda  Kenya Burundi Rwanda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani