Patrick Phiri: Tutaponea kwa Yanga
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri,amesema mechi yao dhidi ya Yanga itakayopigwa Oktoba 18, ndio itakuwa kipimo cha mwisho kwao kwa msimu huu. Kauli hiyo ya Phiri ni kutokana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania13 Aug
Patrick Phiri kutua leo nchini

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mpya wa Simba, Patrick Phiri, anatarajia kutua leo nchini na kukabidhiwa mikoba ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mcroatia Zdravko Logarusic, aliyefungashiwa virago vyake mwishoni mwa wiki iliyopita.
Phiri anatarajia kuwasili majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya Shirika la Ndege la Fastjet akitokea nchini kwao Zambia.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, alithibitisha ujio wa kocha huyo leo,...
11 years ago
Michuzi
kocha patrick phiri wa zambia kutua dar es salaam ijumaa tayari kuinoa simba SC

Phiri ni kocha anayekubalika zaidi mbele ya mashabiki wa Simba SC miongoni mwa makocha waliowahi kufundisha klabu hiyo- rekodi yake ya kukumbukwa zaidi ikiwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2009/2010 bila kufungwa hata...
11 years ago
Mwananchi23 Aug
Mipango ya Yanga yamkera Phiri
11 years ago
Vijimambo15 Oct
Phiri: Rekodi itaiua Yanga

Simba iko jijini Johannesburg, Afrika Kusini kujiandaa na mchezo huo ambao huvuta hisia za mashabiki wa soka ndani na nje ya nchi.
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili, Phiri ambaye katika misimu miwili...
11 years ago
TheCitizen02 Nov
Shocking results for Azam, Yanga as Phiri faces exit
10 years ago
GPL
TIFF: KWA JACK PATRICK NILIPOTEA NJIA
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Phiri aisifu Kagera kwa kuwachapa
11 years ago
GPL
Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi
11 years ago
Mwananchi11 Sep
Phiri: Okwi ana deni kubwa kwa wanasimba