Phiri: Rekodi itaiua Yanga
Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amesema rekodi yake nzuri katika mechi dhidi ya watani wa jadi ndiyo 'itakayowamaliza' wapinzani wao Yanga katika mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambayo itafanyika Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Simba iko jijini Johannesburg, Afrika Kusini kujiandaa na mchezo huo ambao huvuta hisia za mashabiki wa soka ndani na nje ya nchi.
Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili, Phiri ambaye katika misimu miwili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mipango ya Yanga yamkera Phiri
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Patrick Phiri: Tutaponea kwa Yanga
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia Patrick Phiri,amesema mechi yao dhidi ya Yanga itakayopigwa Oktoba 18, ndio itakuwa kipimo cha mwisho kwao kwa msimu huu. Kauli hiyo ya Phiri ni kutokana...
10 years ago
TheCitizen02 Nov
Shocking results for Azam, Yanga as Phiri faces exit
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Azam, Coastal, Yanga zasaka rekodi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS264GgkD66z3JVAoELia3YEuRJkIKrJVWyvGly0YmJxCRtOezZwDEoRQL4glPmlu*W0MXLpe-B7SV2iXwkaQCdi/yanga.jpg?width=650)
Pluijm aweka rekodi ya pekee Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QcoBStP3tP-JLaTqTQffAa3fBwMPtReOu4xmc0GmJ5rw0VlvOYo8e70sMHR4nwgyzbeXTWfc9moldwA4Z43ST*n/yangaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Kocha Yanga aweka rekodi Uturuki
9 years ago
Vijimambo16 Aug
YANGA YAENDELEZA REKODI YA KUWACHAPA MBEYA CITY
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11863434_732791986867181_7612666654763943644_n1.jpg)
Miamba ya kandanda Tanzania bara, Dar es salaam Young Africans imeendelea kuinyanyasa Mbeya City FC baada ya jioni ya leo kuichapa 3-2 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.Magoli ya Yanga yamefungwa na Mbrazil, Andrey Coutinho, Mrundi, Amissi Tambwe na Mzimbabwe, Donald Ngoma, wakati magoli ya Mbeya City yamefungwa na Bakari Mwinjuma na Meshack Samuel.Hiki ni kipigo cha tatu cha aina hiyo kwani msimu uliopita katika mechi mbili za ligi kuu, Yanga ilishinda 3-1...
10 years ago
Mwananchi29 Jun
Yanga yaisaka rekodi ya Simba kombe la Kagame