Azam, Coastal, Yanga zasaka rekodi
Azam, Coastal Union na Yanga zinashindana kusaka rekodi za kipekee katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Yanga, Simba, Azam FC zasaka makali ufukweni
9 years ago
Habarileo26 Dec
Simba, Yanga zasaka zawadi ya Krismasi
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa mechi sita kuchezwa katika viwanja mbalimbali kusaka pointi tatu muhimu na kutoa ‘zawadi’ ya Krismasi kwa mashabiki wake. Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Yanga ambao ni mabingwa watetezi wataikaribisha Mbeya City, mchezo ambao unatarajiwa kuvuta hisia za mashabiki wakitaka kujua nini kitavunwa leo.
10 years ago
Vijimambo05 Feb
YANGA SC YA TAIFA SIYO YA TANGA COASTAL WAKAA NYUMBANI NA KUIPISHA YANGA IFANYE YAKE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Cannavaro-6.jpg)
Ushindi huo umeifanya Yanga SCiwang’oekileleni Azam FC ikifikisha pointi 22,moja nyuma ya wanalambalamba ambao hata hivyo, wana mechi moja mkokoni.Katika mechi hiyo ya kiporo ya raundi ya 10 iliyopaswa kuchezwa jijini hapa Januari 10 lakini ikapigwa kalenda na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...
10 years ago
Vijimambo08 Apr
YANGA HII NI TAMU ZAIDI YA MCHARO COASTAL WAGEUZWA CHIPS FUNGA WAPOKEA 8 SAWA NA TAREHE YA MCHEZO WAO NA YANGA.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/yanga-jjjj1.jpg)
11 years ago
TheCitizen24 Mar
Azam conquer Oljoro, Simba fall to Coastal
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr5zfo6IeM4/VQbu8C2l2FI/AAAAAAAHKvY/EUu7FPiuGn4/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
COASTAL UNION WAANZA KUIPIGIA HESABU AZAM FC
TIMU ya Coastal Union imewasilia jijini Tanga ikiwa na mikakati mizito ya kuhakikisha inawanyamazisha wapinzani wao Azam FC ikiwa ni muendelezo wa Michuano ya Ligi kuu soka Tanzania bara mchezo unaotarajiwa kucheza kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wikiendi ijayo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hr5zfo6IeM4/VQbu8C2l2FI/AAAAAAAHKvY/EUu7FPiuGn4/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Rekodi ya Ndanda yaitesa Azam
NA ABDUCADO EMMANUEL, MTWARA
LICHA ya kuwa na matokeo mazuri hadi sasa, Mabingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup), Azam FC, wameingiwa hofu katika mchezo wao wa leo dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mjini hapa.
Kocha wa Azam, Stewart Hall, ameliambia gazeti hili kuwa Ndanda si timu ya kubeza hasa kutokana na rekodi yake msimu huu ya kutopoteza mchezo wowote katika uwanja wao wa nyumbani hivyo watakuwa wamepania kuendeleza rekodi hiyo...
9 years ago
Habarileo03 Sep
JKT Ruvu wavunja rekodi ya Azam FC
MAAFANDE wa JKT Ruvu wamevunja rekodi ya Kocha Stewart Hall kutofungwa katika michuano yoyote baada ya kuifunga Azam FC mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazi juzi.