Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIFF: KWA JACK PATRICK NILIPOTEA NJIA

Abdulatif Fundikira ‘Tiff’ na mkewe wa zamani,  Jacqueline Patrick Imelda Mtema Mume wa Miss Tanzania 2011, Salha Israel, Abdulatif Fundikira ‘Tiff’ ameibuka na kusema kuwa kwa mkewe wa zamani, Jacqueline Patrick alipotea njia hivyo anashukuru Mungu sasa amefika panapostahili. Miss Tanzania 2011, Salha Israel Akichonga na Ijumaa  Tiff alisema kuwa kwa mkewe Salha amefika na kutokana na huduma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JACK PATRICK MAZITO TENA

Stori: Waandishi Wetu
HABARI mpya za supastaa modo wa Bongo aliyedaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ Macau, China, Jacqueline Patrick ‘Jack’(pichani) zinazidi kumuumiza mrembo huyo. Jacqueline Patrick ‘Jack’. Mrembo huyo alikamatwa Desemba 19, mwaka jana katika Uwanja wa Ndege wa Macau akitokea Bangkok, Thailand akiwa na kete 57 (kilo 1.1) za unga aina ya heroin tumboni zikiwa na...

 

11 years ago

GPL

JACK PATRICK KAACHIWA HURU?

Stori: IMELDA MTEMA
UTATA umeibuka kufuatia kuwepo kwa taarifa kuwa huenda modo maarufu aliyedaiwa kushikiliwa nyuma ya ndondo kwa msala wa madawa ya kulevya nchini China, Jacqueline Patrick ameachiwa huru. Jacqueline Patrick. Utata huo uliibuka mapema wiki hii mara baada ya akaunti ya modo huyo katika mtandao wa Instagram, kuposti picha mpya za Jack hali iliyowafanya wafusi wa mtandao huo kuamini kwamba yupo huru....

 

10 years ago

GPL

JACK PATRICK ANENA MAZITO

Imelda Mtema/Ijumaa
Wakati akiendelea kutumikia kifungo akiwa jela huko Macau, Hong Kong nchini China, modo maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff  ‘Jack Patrick’ amenena mazito juu ya Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Juma Khalid ‘Jux’, Vanessa Mdee, Aunt Ezekiel na Moze Iyobo. Modo maarufu Bongo, Jacqueline...

 

11 years ago

GPL

JACK PATRICK MATESO SAA 48

Jack Patrick baada ya kukamatwa na dawa za kulevya. Stori:  Jelard Lucas
HABARI ya kufungia mwaka 2013 na kufungua pazia la mwaka mpya wa 2014 ni madai ya mwanamitindo kiwango Bongo, Jacqueline Patrick kukamatwa katika  Uwanja wa Ndege wa Macau nchini China akiwa na mzigo wa madawa ya kulevya aina ya heroin lakini Risasi Mchanganyiko linaangaza mapya zaidi juu ya sakata hilo. Mwanamitindo Jacqueline… ...

 

10 years ago

GPL

JACK PATRICK HUKUMU NYEPESIII!

Stori: Imelda Mtema na Erick Evarist
 BAADA ya kushikiliwa kwa takriban miezi tisa kwa kesi ya madawa ya kulevya ‘unga’, hatimaye Video Queen maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ amehukumiwa kifungo cha miaka 6 jela huku kukiwa na uwezekano wa kupunguziwa adhabu ikawa ndogo zaidi, Amani linaibumburua habari kamili. Jack Patrick wakati alipokamtwa. HUKUMU NYEPESI? Kwa mujibu...

 

11 years ago

GPL

JACK PATRICK AYEYUKA GEREZANI

Stori:  Shakoor Jongo Nini kinaendelea? Video Queen wa Bongo anayeshikiliwa na jeshi la polisi nchini China kwa msala wa madai ya kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitizpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ anadaiwa kuyeyuka gerezani. Video Queen wa Bongo, Jacqueline Fitizpatrick Cliff ‘Jack Patrick’. Kwa mujibu wa ‘mtu wetu’ aliyeambatana na rafiki zake Jack kwenda...

 

11 years ago

GPL

JACK PATRICK AZIDI KUMTESA JUX

Stori: Musa Mateja MOYO unauma! Staa wa R&B Bongo, Juma Khalid ‘Jux Vuitton’ amekiri kuteswa na ishu ya mwanamitindo Jacqueline Fitzpatric Cliff ‘Jack Patrick’ akiomba asiulizwe habari za modo huyo aliyekuwa mpenzi wake ambaye kwa sasa yupo nyuma ya nondo kwa madai ya kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ huko Macau, Hong Kong nchini China. Staa wa R&B Bongo, Juma Khalid ‘Jux...

 

10 years ago

GPL

KADINDA AMFUATA JACK PATRICK GEREZANI

Stori: Mayasa Mariwata
Imekaa poa sana! Ubuyu kutoka Hong Kong, China unadai kwamba mbunifu wa mavazi Bongo, Martin Kadinda hivi karibuni alimfuata Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ gerezani aliyefungwa nchini humo kwa msala wa kukamatwa na madawa ya kulevya. Martin Kadinda wakati  akiwa na Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’. Habari… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Jack Patrick kilio upya gerezani!

jackcliff3 Msanii na mwanamitindo Jack Patrick.

Na Brighton Masalu
JACK Patrick, msanii, mwanamitindo na mmoja wa Watanzania wanaotumikia kifungo nchini China kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya, ametoa kilio upya akiwa gerezani, baada ya kuwashutumu marafiki zake kushindwa kumtembelea, licha ya kufika mara kwa mara katika nchi hiyo yenye uchumi mkubwa barani Asia.

Kikizungumza na gazeti hili juzikati, chanzo kilichoomba hifadhi ya jina lake, ambacho kilimtembelea Jack katika gereza lililo mji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani