JACK PATRICK AZIDI KUMTESA JUX

Stori: Musa Mateja MOYO unauma! Staa wa R&B Bongo, Juma Khalid ‘Jux Vuitton’ amekiri kuteswa na ishu ya mwanamitindo Jacqueline Fitzpatric Cliff ‘Jack Patrick’ akiomba asiulizwe habari za modo huyo aliyekuwa mpenzi wake ambaye kwa sasa yupo nyuma ya nondo kwa madai ya kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ huko Macau, Hong Kong nchini China. Staa wa R&B Bongo, Juma Khalid ‘Jux...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
JUX: KWELI JACK PATRICK NI MPENZI WANGU
11 years ago
GPL
JACK PATRICK AYEYUKA GEREZANI
10 years ago
GPL
JACK PATRICK ANENA MAZITO
11 years ago
GPL
JACK PATRICK MAZITO TENA
11 years ago
GPL
JACK PATRICK MATESO SAA 48
11 years ago
GPL
JACK PATRICK HUKUMU NYEPESIII!
11 years ago
GPL
JACK PATRICK KAACHIWA HURU?
11 years ago
GPL
JACK PATRICK AFYA TETE GEREZANI
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Jack Patrick kilio upya gerezani!
Msanii na mwanamitindo Jack Patrick.
Na Brighton Masalu
JACK Patrick, msanii, mwanamitindo na mmoja wa Watanzania wanaotumikia kifungo nchini China kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya, ametoa kilio upya akiwa gerezani, baada ya kuwashutumu marafiki zake kushindwa kumtembelea, licha ya kufika mara kwa mara katika nchi hiyo yenye uchumi mkubwa barani Asia.
Kikizungumza na gazeti hili juzikati, chanzo kilichoomba hifadhi ya jina lake, ambacho kilimtembelea Jack katika gereza lililo mji wa...