KOCHA YANGA ASISITIZA LAZIMA WAUPIME UWANJA WA ALEXANDRIA
![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS1KUXphY0U47D4laBLxC*CFhUlgLRS9F0nyaxUKrUNPfsr0M0JTm2GFIFYUVc9GC7kbzapFvqrS-DcuQ0M-I6aJ/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Saleh Ally, Cairo Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm amesema pamoja na kusafiri leo Jumamosi, lakini lazima waupime uwanja watakaochezea mechi leo. Pluijm raia wa Uholanzi amesema ni jambo la msingi kwao kufanya mazoezi kwenye uwanja huo, hivyo lazima. Yanga imeanza safari leo hii asubuhi kwenda Alexandria, mwendo wa saa mbili kutoka hapa Cairo.  “Baada ya kufika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
KATIBA: Silaa asisitiza serikali mbili lazima
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qLBfjpF4_zU/XpypPSuqqcI/AAAAAAALncU/U94ieWT0J4gtKBG95jko4NY1UxR0o5g4wCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
DC KINONDONI ASISITIZA KUWACHAPA VIBOKO WATAKAOSABABISHA MIKUSANYIKO ISIYO YA LAZIMA BAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qLBfjpF4_zU/XpypPSuqqcI/AAAAAAALncU/U94ieWT0J4gtKBG95jko4NY1UxR0o5g4wCLcBGAsYHQ/s400/DC%2BKINO.jpg)
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Daniel Chongolo amesema wataendelea kuchukua hatua ya kuchapa viboko watu ambao watakuwa wanafanya mikusanyiko ambao haitakuwa wa lazima hasa kwenye Baa huku akisisitiza watu watachapwa kweli kweli.
Chongolo amesema hayo jijini Dar es Salaam wakati anazungumza na Michuzi TV pamoja na Michuzi Blog wakati anafafanua msimamo wa kuchukua hatua ya kuwacharaza viboko watu ambao watakuwa wanaweka mkusanyiko usio wa lazima...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 May
Chama cha Riadha lazima kiajiri kocha
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s72-c/MMGL0060.jpg)
MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s1600/MMGL0060.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hHVq_w2pie4/VN9YDWa4n6I/AAAAAAAHDu8/Y3X4I_cge8g/s1600/MMGL0098.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s72-c/MMG29815.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s1600/MMG29815.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hsgcHyJetE/Uu5LX_potSI/AAAAAAAFKVA/hw8mmxNyb4Y/s1600/MMG29823.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s72-c/MMG20203.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s1600/MMG20203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y_TcBJBhQDU/UvY47X4fZFI/AAAAAAAFLvo/2my7ZRqMF4w/s1600/MMG20165.jpg)