Shein asisitiza kodi kwa maendeleo
RAIS wa Zanziari Dk Ali Mohamed Shein amewataka wafanyabiashara na wananchi wote kuendelea kulipa kodi ili kuiwezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ipasavyo ikiwemo kutekeleza miradi ya maendeleo na kutoa huduma bora kwa wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Dec
Shein asisitiza ulipaji kodi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein ametoa wito wa kuongeza ufanisi katika ulipaji na ukusanyaji wa kodi nchini.
11 years ago
Dewji Blog03 May
Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya taifa
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
SERIKALI imewataka waandishi wa habari nchini kuelimisha Watanzania umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuwaeleza madhara ya kukwepa kulipa kodi hiyo kwa taifa.
Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akifungua mafunzo ya siku pili ya kodi kwa...
10 years ago
Habarileo19 Nov
Shein asisitiza umuhimu wa Wapatholojia
IMEELEZWA kwamba wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, kuwajengea uwezo wataalamu wanaohusiana na uchunguzi wa maradhi ‘Wapatholojia’ kwa lengo la kuimarisha huduma za kimaabara na kuinua sekta ya afya nchini.
11 years ago
Habarileo06 Apr
Dk Shein asisitiza Serikali 2 mwafaka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein amesisitiza kuwa, muundo wa Serikali mbili ndio unaofaa.
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Ugavi unavyotafuna kodi za walalahoi, kuathiri maendeleo
10 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Dk Shein ataka maendeleo Z’bar