MFUMUKO WA BEI UMEPUNGUA- OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-2E8ma-0Xvrw/VIYQPa8rfAI/AAAAAAAG2Jc/IWsn3U4-4Rk/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Novemba, 2014 umepungua hadi kufikia asilimia 5.8 kutoka 5.9 iliyokuwepo mwezi Oktoba ,2014 kutokana na kupungua kwa kasi ya bei ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali nchini.
Akitoa taarifa ya mfumuko wa bei kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraim Kwesigabo amesema kuwa kupungu kwa mfumuko wa Bei...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-2E8ma-0Xvrw/VIYQPa8rfAI/AAAAAAAG2Jc/IWsn3U4-4Rk/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
MFUMUKO WA BEI UMEPUNGUA - OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mggY7584R-s/U7xeK1Fac7I/AAAAAAAFzFk/2Ax11WPKaWo/s72-c/unnamed+(43).jpg)
MFUMUKO WA BEI NCHINI UMEPUNGUA - OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU.
9 years ago
Press10 Oct
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATANGAZA MFUMUKO WA BEI
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Septemba, 2015 umepungua hadi asilimia 6.1 kutoka asilimia 6.4 ilivyokuwa mwezi Agosti, 2015.
Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya Watu Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam wakati akitangaza Mfumuko wa Bei wa mwezi Septemba, 2015 ambao umepungua hadi asilimia 6.1 kutoka asilimia 6.4 ilivyokuwa mwezi Agosti, 2015.
Baadhi ya waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya Watu...
9 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA KUHUSU MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WA MWEZI AGOSTI, 2015
Na Dotto MwaibaleUWEZO wa shilingi 100 ya Tanzania katika kununua bidhaa na huduma umefikia shilingi 62 na senti 97 mwezi Agosti, 2015 kutoka mwezi Septemba,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MIG9k_a9UnA/U-PfcyU3LvI/AAAAAAAF9x0/AyLbr8BMUD0/s72-c/unnamed+(3).jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA YA MFUMUKO WA BEI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-MIG9k_a9UnA/U-PfcyU3LvI/AAAAAAAF9x0/AyLbr8BMUD0/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZotLYeoX50U/U-PfdJVQZ5I/AAAAAAAF9x4/Eu2wVZIH1EM/s1600/unnamed+(4).jpg)
Na. Aron Msigwa-MAELEZO.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa ongezeko dogo la mfumuko wa bei nchini kutoka asilimia 6.4 za mwezi June hadi asilimia 6.5 za mwezi Julai 2014 linatokana na kupanda kwa bei za baadhi ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QDYhWIVWRKw/VF4yQIMkPSI/AAAAAAACubw/aq9-s3PSZps/s72-c/02.jpg)
Ofisi ya Taifa ya Takwimu yatoa taarifa za mfumuko wa bei nchini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDYhWIVWRKw/VF4yQIMkPSI/AAAAAAACubw/aq9-s3PSZps/s1600/02.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jDw4WYq3J3Y/VF4yPg6F78I/AAAAAAACubs/5SiNJhIMt3s/s1600/03.jpg)
Wananchi wameombwa kutoa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefU-sEIzpM/U2x5FeL3MqI/AAAAAAAFgdQ/jYY0wjq08oQ/s72-c/unnamed+(3).jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA YA MFUMUKO WA BEI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefU-sEIzpM/U2x5FeL3MqI/AAAAAAAFgdQ/jYY0wjq08oQ/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JxqD4I4yiHA/U2x5FX71q0I/AAAAAAAFgdU/SyD5-Tzibs8/s1600/unnamed+(4).jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Aprili umeongezeka ikilinganishwa na mwezi uliopita kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa na huduma mbalimbali.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8zcDjQblH4M/VF4vVqF1_SI/AAAAAAACSz4/Ym0AcQFcplw/s72-c/02%2B(1).jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA ZA MFUMUKO WA BEI NCHIN
![](http://3.bp.blogspot.com/-8zcDjQblH4M/VF4vVqF1_SI/AAAAAAACSz4/Ym0AcQFcplw/s640/02%2B(1).jpg)
Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya Watu na Makazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mfumuko wa bei nchini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XeWzuZyg9yg/VF4vWUhT80I/AAAAAAACS0A/Eu5zFyEIvyk/s640/03%2B(1).jpg)
Baadi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya Watu na Makazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bw. Ephraimu Kwesigabo leo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumzia suala la mfumuko wa bei nchini.
Picha na Eleuteri...
9 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YASEMA MFUMUKO WA BEI UMESHUKA KUFIKIA ASILIMIA 6.1
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei...