Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHOGA, NYUKI MKALI KWA ASALI YAKE

Shoga naona leo kicheko mpaka gego la mwisho, najua lazima ucheke kwani ndoa yako ilikuwa imesimamia mguu mmoja leo hii imesimamia miguu miwili, hongera.  Inawezekana nawe ulikuwa mmoja wa waliokuwa wakiichukia kona hii na kuona kama inakufuatafuata. Baada ya maji kufika shingoni, mwenyewe umeyatafuta magazeti ya zamani ili kujua umekosea wapi. Jamani kona hii ipo kwa ajili yetu sote, hata sisi enzi ya ujana wetu tulifanya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHOGA, ACHA KULAMBA ASALI KWA NCHA YA KISU

Enyi wanawake mlolaaniwa toka kizazi cha nyoka ambacho kila siku mnatudhalilisha wanawake wenzenu. Kuna faida gani kuolewa nawe una hamu zako? leo sitaki salamu ya mtu maana sioni faida ya kuwa ndani ya ndoa na mtu aliye nje. Unaniangalia? Niangalie sana, mimi nasema kwa uso mpana, sikuogopi wala sikuonei haya usiyejua vibaya. Kisa cha kumuuzia mumeo mbuzi kwenye gunia, kama una pepo la ngono ndo’ unakwenda peku? inaudhi...

 

11 years ago

Mwananchi

Soko la asali lawanyima kipato wafugaji nyuki

Wafugaji nyuki wilayani Handeni mkoani Tanga, wameitaka Serikali kuwapatia soko la kuuzia asali ili waepuke kutapeliwa na walanguzi.

 

10 years ago

Vijimambo

dris Mshindi wa BBA Aonyesha Nyumba yake Aliyonunua na Kutoa Ujumbe Mkali kwa Mashabiki wake

"I have seen thousands of people through my life time, got helped and expected to do alot in return, broken and crushed with no one to pick me up. I have struggled from ground level with all sorts of sayings like "you will never make it" to where i am now. I have shaken millions of hands not knowing who has good intentions with me. The world is for everyone who has a dream and a good will to it. The world is for all who want to change lives and make people smile. The world full of good...

 

11 years ago

GPL

Kufuru, ndege ya watu 150, Malkia wa Nyuki apanda peke yake

Mlezi wa Simba, Rahma Al Kharoosi 'Malkia wa Nyuki'. MLEZI wa Simba, Rahma Al Kharoosi, ametua jijini Dar es Salaam akiwa kwenye ndege kubwa yenye uwezo wa kubeba watu 150, lakini yeye akiwa ndiye abiria pekee ndani ya ndege hiyo. Rahma, maarufu kama Malkia wa Nyuki, ametua na ndege hiyo aina ya Airbus 320 inayomilikiwa na Serikali ya Oman na anaitumia yeye kupitia cheo chake cha Balozi wa Heshima wa Oman nchini Morocco.…...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wadau waliohudhuria kongamano la Nyuki mjini Arusha, watembelea shamba la darasa la Nyuki wilayani Ikungi

DSC02197
Kaimu Mkurugenzi wa idara ya Nyuki Gladness Mkanda,akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mahambe wilaya ya Ikungi muda mfupi baada ya kuongoza wadau wa nyuki kutoka sehemu mbalimbali duniani,kutembelea shamba darasa la ufugaji bora wa nyuki linalomilikiwa na shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI).Mkamba alitoa wito kwa wananchi kujiunga katika vikundi vya ufugaji Nyuki ili waweze kujikomboa kiuchumi.

DSC02184

Meneja wa shirika la Future Development Initiatives (Fu-DI), Jonathani Njau,...

 

10 years ago

GPL

SHOGA: MPIGE ‘STOP’ MUMEO KUCHEKA NA SHOGA ZAKO!

Shoga, ni matumaini yangu hali yako ipo poa na unaendelea kusaka ugali wa kula watoto kama kawaida.
Kwa upande wangu namshukuru Mwenyezi Mungu, afya yangu, wanangu na mume wangu ni nzuri kabisa.
Baada ya wiki iliyopita kuzungumza nawe kuhusu kuyafanyia kazi yote uliyofundishwa na kungwi wako ili umpagawishe mumeo na kumfanya atulie nyumbani, leo nimekuandalia kitu tofauti. Nafanya hivyo ili kuufungua ubongo wako katika suala...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?-2

kabla sijaendelea na mada yetu ambayo leo inatuweka sehemu ya pili, ni vizuri kukumbushana kuwa msingi nambari moja wa penzi bora lenye uaminifu ni kushika njia inayompendeza Muumba.
Migogoro mingi ya kimapenzi ni makosa ya watu kupita mlango wa Shetani. Tukiendelea na mada yetu; Mapenzi siku zote yanaweza kuwa asali kama wahusika wataamini katika nguvu ya maneno. Imetokea kuamini kuwa maneno ni mhimili wa kudumu kwa uhusiano...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?

Kwa nini mapenzi ni tata? Unaweza kujiuliza swali hilo. Ni kwa faida ya kila mmoja kwa sababu yanamhusu kila mmoja wetu. Ni matamu lakini ndani yake hutokea kuwa na ukakasi kama siyo maumivu.Jiulize tena, kwa nini mapenzi yanasumbua? Mapenzi ni maumivu ya kichwa na moyo. Watu wengi waliomo ndani yake wanaweza kukupa ushuhuda wa mateso wanayoyapata kwenye uhusiano wao. Je, baada ya kuteseka huwa wanajiapiza kutorudi tena? La...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani