Tunahitaji Bunge linalojali maslahi ya taifa
BAADA ya Uchaguzi Mkuu. Tumempata Rais, wabunge na madiwani. Kinachobaki sasa ni kazi.
Privatus Karugendo
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Wabunge wa Bunge la Katiba washauriwa kuweka maslahi ya taifa mbele
Kaimu Mwalimu mkuu wa pili kitengo cha walemavu katika shule ya msingi mchanganyiko Ikungi, Donard Adamu Bilali, akizungumza na wanachama wa Singida Press Club, waliotembelea shule hiyo.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
KAIMU Mwalimu Mkuu kitengo cha walemavu shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali amewashauri wajumbe wa Bunge la katiba kuimarisha umoja baina yao ili waweze kutengeneza katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 50...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k8pyViA-WM4/XlgqbFfrQ3I/AAAAAAALfu8/kpNpV5OtxgMdCVCj9Q7sAjNvZm4Uj-dpACLcBGAsYHQ/s72-c/EAC.jpg)
WABUNGE WA TANZANIA WATOKA NJE YA BUNGE LA EALA WAKIGOMEA MUSWADA WA BANDARI AMBAO HAUNA MASLAHI NA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-k8pyViA-WM4/XlgqbFfrQ3I/AAAAAAALfu8/kpNpV5OtxgMdCVCj9Q7sAjNvZm4Uj-dpACLcBGAsYHQ/s640/EAC.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Wabunge wa Tanzania kwenye bunge la Afrika mashariki wametoka nje ya bunge akigomea kuletwa kwa muswada wa mabadiliko ya sheria za bandari ambao hauna maslahi na taifa letu.
Akiongea nje ya ukumbi wa bunge hilo Mariamu Ussi Yahaya alisema kuwa muswada huo unaotakiwa kuletwa utaounguza mapato ya bandari zetu hivyo hauna maslahi kwa taifa letu.
Alieleza kuwa nchi zenye bandari kwenye jumuiya hiyo ni Tanzania na Kenya hivyo kuletwa kwake ndani ya bunge kwa wakati huu sio...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
TFF tunahitaji makocha wa timu za Taifa
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Tunahitaji umakini Bunge la Katiba
NIMESIKITISHWA na jinsi Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilivyotendewa. Tunaalani vitendo vyote na matamshi yaliyolenga kuichafua Tume ya Katiba kwa malengo ya kisiasa. Kuchafuliwa ama kudhalilishwa kwa Tume ya Katiba...
10 years ago
Habarileo01 Dec
Wassira asisitiza uwajibikaji kulinda maslahi ya taifa
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uhusiano na Uratibu, Stephen Wassira amekiri kuwa hali ilikuwa mbaya bungeni Ijumaa usiku wakati wa kujadili na kupitisha maazimio kuhusu sakata la uchotaji wa fedha za Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
11 years ago
Habarileo16 May
Mabadiliko Sheria ya Ununuzi yalinda maslahi ya taifa
MIKATABA isiyo na maslahi kwa taifa imedhibitiwa kwa kiwango kikubwa kutokana na mabadiliko yaliyofanyika katika Sheria ya Ununuzi ya mwaka 2011; Bunge limeelezwa jana.
9 years ago
Habarileo15 Oct
Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa
BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.
10 years ago
Habarileo13 Aug
‘Vijana chagueni viongozi wenye maslahi kwa taifa’
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imehimiza vijana kuhakikisha wanachagua viongozi wenye maslahi kwa taifa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel alitoa mwito huo jijini Dar es Salaam jana katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani.
11 years ago
Habarileo08 Mar
Sumaye: Bunge Maalum mnaendekeza maslahi ya vyama
WAZIRI Mkuu mstaafu wa Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewataka wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba kutoendekeza itikadi na misimamo ya vyama vyao wakati huu ili kupata Katiba yenye tija kwa Watanzania.