Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JINSI YA KUISHI NA MWANAMKE MZURI BILA PRESHA!

Kibinadamu tunasema hakuna mwanamke mzuri na mbaya. Wote ni sawa na yule ambaye unamuona kwako ni mzuri, huenda kwa mwenzako akawa mbaya.Hata hivyo, wapo wanawake ambao kiuhalisia ni wazuri na hata wenzao wanakiri kwamba Mungu kawapendelea.
Uzuri ninaouzungumzia hapa ni ule wa sura na umbo. Wapo ambao wamejaaliwa kuwa na figa bomba kiasi kwamba kila mwanaume anatamani ampate. Linapozungumziwa suala la kuoa, wanaume wengi sasa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuishi na kukubalika katika jamii?

Je, unaishi kwa kukubalika katika jamii? Je, una maelewano na ushirikiano mzuri na jamii inayokuzunguka? Kama ndiyo unapata faida au manufaa gani kutokana na maelewano hayo.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?- 2

U hali gani msomaji wangu? Ni matumaini kwamba uliifurahia siku ya wapendanao (Valentines Day) kwa kufanya yale yanayostahili kufanywa kwenye siku hiyo. Nakukaribisha tena tuendelee na mada yetu tuliyoianza wiki iliyopita kama inavyojieleza hapo juu. Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitakushukuru wewe msomaji wangu ambaye ulituma ujumbe mfupi (sms), kuchangia mada hii kama nilivyokuomba. Ushauri au mawazo yako uliyoyatoa ni ya...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE MZURI ANAPASWA KUWA NA VIGEZO GANI?

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, ni Jumatatu nyingine ninapokukaribisha kwa moyo mkunjufu kwenye busati letu la mahaba, tukijuzana na kuelimishana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi. Leo nataka tujadiliane kuhusu mada ambayo siyo ngeni lakini imekuwa ikisababisha mivutano na migongano mingi ya kimawazo mara kwa mara kila inapojadiliwa, hasa na wanaume au wanawake wenyewe. Hivi umeshawahi kujiuliza...

 

10 years ago

Mwananchi

Majuu : takriban kila mwanamke mzuri na sigara mkononi

Macho hayana pazia. Walisema wahenga. Hapa tuliposimama macho yetu kweli hayana kizibo. Tumeganda kama nzi aliyenaswa utandoni. Nzi hana Kiswahili bali kusubiri ang’atwe ng’atwe na yule mdudu mwenye miguu na macho manane.Tumeshikwa bumbuazi tukimtazama bibiye akimwagika.

 

11 years ago

GPL

RAY C: NATESEKA KUISHI BILA MPENZI JAMANI

Stori: IMELDA MTEMA
STAA aliyebeba ‘taito’ kubwa ndani ya Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’  ambaye alitopea kwenye matumizi ya madawa ya kulevya kisha kuyaacha, amefunguka kuwa yupo fiti na anataka kuishi na mpenzi, hayupo tayari kuteseka. Ray C. Ray C alifunguka hayo kupitia kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram hivi karibuni ambapo bila hiyana alishindwa kuzuia hisia zake kama...

 

10 years ago

GPL

BAHATI BUKUKU ARIDHIKA KUISHI BILA MUME

Brighton Masalu MWIMBAJI wa nyimbo za Injili, Bahati Lusako Bukuku amefungukia kuridhika na maisha yake bila mume kwamba suala la kuwa naye halina utashi wala ulazima na kuongeza kuwa ni vyema kama jambo limeshindikana kuachana nalo.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1KS8dNt

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke adai kunyimwa urithi kwa kuishi na VVU

MWANAMKE mmoja mkazi wa Kimandolu jijini Arusha, Suzy Mrema (40) anayeishi na virusi vya Ukimwi amedai kutengwa na ndugu zake, ikiwa ni pamoja na kunyimwa urithi wa mali za marehemu baba yao kwa madai ya kuwa yeye ni marehemu mtarajiwa.

 

11 years ago

GPL

HASARA 3 ZA KUOA MWANAMKE MZURI, ‘MWENYE NAZO’ ILA LIMBUKENI!

Awali ya yote naomba niseme kwamba, raha ya ndoa ni kumpata mtu ambaye anajua maisha na anajua mapenzi pia. Ukipata mwanamke ambaye anajua kutafuta pesa tu lakini kwenye ulimwengu wa mapenzi ni limbukeni, atakusumbua sana. Lakini pia ukijichanganya ukaoa mwanamke ambaye ni mtaalam wa mapenzi lakini hajui pesa inavyotafutwa, nalo ni tatizo licha ya kwamba kwa wengine si tatizo kwani wapo ambao hawataki kuoa wanawake wenye vipato...

 

10 years ago

Vijimambo

MENINAH AMWANIKA DIAMOND TENA!! AFUNGUKA MENGI KUHUSU MAHUSIANO YAO,AELEZA JINSI WEMA ALIVYO MPA PRESHA

Kwa mara ya kwanza tangu wadaiwe kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Meninah a.k.a Meninah la diva na Nguli wa Bongo Fleva nchini Nasib Abdul 'Diamond' hatimaye ukweli umepatika baaada ya kuzinasa meseji za meninah alizofunguka kususu mahusiano yake na Diamond.Meseji hizo zimenaswa kutoka kwenye simu ya Meninah ambaye alikuwa akichati naye kuhusu mwenendo mzima wa Mahusiano yake na Diamond kupitia "Chating" hizo Meninah amekiri kwamba Diamond alimtaka kimapenzi na alifikia hatua ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani