Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, unajua jinsi ya kuishi na kukubalika katika jamii?

Je, unaishi kwa kukubalika katika jamii? Je, una maelewano na ushirikiano mzuri na jamii inayokuzunguka? Kama ndiyo unapata faida au manufaa gani kutokana na maelewano hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Unajua jinsi ya kukabiliana na vikwazo katika maisha yako?

Kama ungeulizwa ni vitu gani vinakukwaza katika maisha, nina hakika ungeorodhesha vitu vingi kama vile kukosa nyumba, kukosa gari, kukosa kazi ya mshahara mzuri, kukosa ushirikiano na watu wanaokuzunguka na vikwazo vingine kadha wa kadha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi wahalifu wa mtandaoni wanavyoongeza hofu katika jamii

Barua pepe tano ambazo wahalifu wa mtandaoni wamekuwa wanatumia kuwalaghai watu kuhusu corona.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania

DSC05590

Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.

Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku  ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali  ya awamu ya nne...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -1

Je, wewe au ndugu zako mnamudu kuishi na vijana wenu kwa maelewano mazuri? Kama hapana ni kwa sababu gani? Je, unafikiri ni nani mwenye makosa? Ni vijana au wazazi?

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -2

Wiki iliyopita tuliwaletea sehemu ya kwanza ya jinsi ya kuwalea vijana, leo tunaendelea ambapo tutakamilisha mada hiyo. Endelea...

 

10 years ago

Mwananchi

Je unajua jinsi unavyoweza kuwa kiongozi bora

Kufuatia uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni kuna baadhi ya wasomaji wameniomba niandike kuhusu uongozi. Hata hivyo, nilipoamua kuandika kuhusu mada hii nikawa na hofu kuwa itasomwa na watu wachache sana yaani viongozi tu.

 

11 years ago

Mwananchi

Je,unajua jinsi ya kuyafanya maisha yako yawe na shangwe ?

Siku hizi katika kila mji ninakokwenda, nastaajabu kuona nguzo za mabomba zinazochomoza kwenye mapaa ya nyumba na juu yake kumetundikwa vitu vya maumbo mbalimbali. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani