Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -1

Je, wewe au ndugu zako mnamudu kuishi na vijana wenu kwa maelewano mazuri? Kama hapana ni kwa sababu gani? Je, unafikiri ni nani mwenye makosa? Ni vijana au wazazi?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuwalea vijana? -2

Wiki iliyopita tuliwaletea sehemu ya kwanza ya jinsi ya kuwalea vijana, leo tunaendelea ambapo tutakamilisha mada hiyo. Endelea...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unajua jinsi ya kuishi na kukubalika katika jamii?

Je, unaishi kwa kukubalika katika jamii? Je, una maelewano na ushirikiano mzuri na jamii inayokuzunguka? Kama ndiyo unapata faida au manufaa gani kutokana na maelewano hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Je unajua jinsi unavyoweza kuwa kiongozi bora

Kufuatia uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni kuna baadhi ya wasomaji wameniomba niandike kuhusu uongozi. Hata hivyo, nilipoamua kuandika kuhusu mada hii nikawa na hofu kuwa itasomwa na watu wachache sana yaani viongozi tu.

 

11 years ago

Mwananchi

Je,unajua jinsi ya kuyafanya maisha yako yawe na shangwe ?

Siku hizi katika kila mji ninakokwenda, nastaajabu kuona nguzo za mabomba zinazochomoza kwenye mapaa ya nyumba na juu yake kumetundikwa vitu vya maumbo mbalimbali. 

 

11 years ago

Mwananchi

Unajua jinsi ya kukabiliana na vikwazo katika maisha yako?

Kama ungeulizwa ni vitu gani vinakukwaza katika maisha, nina hakika ungeorodhesha vitu vingi kama vile kukosa nyumba, kukosa gari, kukosa kazi ya mshahara mzuri, kukosa ushirikiano na watu wanaokuzunguka na vikwazo vingine kadha wa kadha.

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA: Unajua jinsi mambo tunayoyafanya leo yalivyojengeka tangu tulipokuwa wadogo?

>Je kama ungetaka kujiunga na mashindo ya bahati nasibu ukaulizwa kama ungependelea uulizwe maswali yanayohusiana na hesabu au lugha ungechagua  nini? Kama utaamua kujibu maswali ya hesabu badala ya lugha ina maana wewe ni hodari zaidi katika kutumia tarakimu kuliko kuchambua maneno na mawazo.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jinsi vijana wa Yamoto Band walivyotakata kufuatia ziara ya Marekani

Cover

Upepo wa Marekani unapuliza sabuni kabisa nini? Wiki moja tu vijana wa Yamoto Band wametakata tayari.

Cover

Meneja wa kundi hilo, Said Fella ametutumia picha za vijana hao wakiwa kwenye mitaa ya Marekani baada ya kumalizika kwa ziara yao na unaweza kugundua namna walivyobadilika ghafla.

20151214043100

Fella ameiambia Bongo5:

Vijana wa ya moto band tour USA jana wamemaliza show ya tatu Katika jiji la Houston, Texas kesho wanarejea nchini Jumamosi watakuwa Dar Live Mbagala kumkaribisha kijana waliomtuma BSS na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani