Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makundi mapya ya sanaa za maigizo yajirekebishe

Ni wazi kwamba huwezi kuzungumzia maendeleo yaliyopatikana kwenye tasnia ya filamu nchini bila kutaja Nyota Academia, Kaole Sanaa Group, Kidedea, Kidedea Original, Mambo Hayo na makundi mengine ya sanaa za maigizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tamthilia inayoonyesha nguvu katika sekta ya sanaa ya maigizo

‘Ni tamthilia ya televisheni inayofurahisha, inayoonyesha maisha ya Cheche, mpigapicha mwenye bashasha na mmiliki wa studio ya kupiga picha ya Mtungi. Ana mke mrembo, Cheusi, aliyemzalia watoto wawili wenye afya, huku akiwa na ujauzito wa mtoto wa tatu,’ Hii ni sehemu ya kwanza ya tamthilia hiyo.

 

9 years ago

Bongo5

Said Fella aanzisha makundi mapya, ‘Salam TMK’ na ‘Waswahili TikaTika’

fella3

Said Fella ameanzisha makundi mawili mapya ya muziki, ‘Salam TMK’ na ‘Waswahili TikaTika.’ kutoka Mkubwa na Wanae.
fella3

Fella ameiambia Bongo5 kuwa tayari vijana hao wameshaandaa kazi zao na zinatarajiwa kuanza kuonekana hivi karibuni.

“Licha ya kuwa na vijana 102, bendi itakuwa ni Yamoto tu, kila msanii nitakuwa namtoa kwa style yake,” amesema.

“Kuna kundi linaitwa Salam TMK hawa ni vijana kutoka Mkubwa na WanaWe, wapo wanane, hawa watakuwa wanaimba kama zamani ulivyokuwa unaona wanaimba TMK...

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

11 years ago

Mwananchi

Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa

Ukifikiria umoja, halafu ukitaka kuleta ubinafsi ndani yake, huku ukiangalia dhana yenyewe kwa juu juu unaweza ukahisi unachanganya mambo, lakini ukikaa kwa umakini na kuzitekeleza dhana hizi kwa utaratibu, utajikuta kwenye mafanikio makubwa sana.

 

10 years ago

Habarileo

‘Msiligeuze Bunge uwanja wa maigizo’

Kiongozi wa Shughuli za Serikali bungeni, Profesa Mark MwandosyaKAIMU Kiongozi wa Shughuli za Serikali bungeni, Profesa Mark Mwandosya amewataka wabunge wasiligeuze Bunge kama eneo la maigizo, kutokana na kauli zao wanazozitoa wakati wanapotoa michango yao.

 

11 years ago

GPL

RIYAMA: SIISHI MAISHA YA MAIGIZO

Stori: Imelda Mtema MWIGIZAJI mwenye taito ya kujiheshimu, Riyama Ally, amefunguka kuwa kinachomfanya aishi vizuri na watu ni kwa sababu haishi maisha ya kuigiza. Superstar wa filamu za kibongo Riyama Ally, Akizungumza na mwandishi wetu juu ya maisha yake, Riyama alifafanua:
“Mimi siangalii sana maisha ya anasa, naangalia zaidi masuala ya msingi ya jinsi ya kuishi na watu katika jamii na  ndiyo maana unaona naishi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maigizo ya vita vya Liberia London

Mchezo wa kuigiza unaovutia watazamaji wengi mjini London kutokana na mada yake kuu ya vita vya Liberia

 

11 years ago

Mwananchi

Tumeanza mwaka, tuache maigizo kwenye elimu

Mwaka 2013 ulitawaliwa na vituko katika sekta ya elimu ambayo vinatokana na tabia ya Serikali kujibu maswali magumu kwa majibu mepesi.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali iache maigizo, itekeleze majukumu haya

Mambo yanayoendelea kufanyika nchini hivi sasa wakati wananchi wakitakiwa kujielekeza katika masuala muhimu yanayohusu mustakabali wa Taifa letu yanaweza kufananishwa na maigizo kama siyo sarakasi. Katika historia ya nchi yetu, hakuna wakati ambapo wananchi walijikuta wakitakiwa kutekeleza majukumu makubwa ya kitaifa kwa wakati mmoja kama ilivyo mwaka huu. Bahati nzuri wananchi wanatambua kwamba majukumu hayo ni mazito na muhimu, hivyo yanahitaji umakini mkubwa katika utekelezaji wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani