Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


#FahamuTv Diamond Platnumz Na Nay Wa Mitego Pesa Vs Mapenzi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA MAPENZI PESA DIAMOND NA NAY WA MITEGO JITIRIRISHE NA WEWE KIROHO SAFI

Ni kweli mapenzi pesa au ufundi? kama ufundi basi nenda veta


 

9 years ago

Bongo5

Video ya ‘Mapenzi au Pesa’ hatujaipotezea — Nay Wa Mitego

Ubize wa show ndio sababu kubwa aliyoitaja Nay Wa Mitego kuwa chanzo cha kuchelewa kushoot video ya collabo yake na Diamond, ‘Mapenzi au Pesa’. Wakati ambapo baadhi ya mashabiki wameanza kukata tamaa kutokana na muda mrefu kupita bila kuiona video hiyo, Nay amesema lazima walipe deni hilo baada ya uchaguzi kupita ambapo yeye na Diamond […]

 

11 years ago

GPL

NAY WA MITEGO AONESHA JEURI YA PESA

Alipoanza kwa kutoa ngoma yake iliyomtambulisha kwenye gemu ya Nasema Nao, hakuna aliyetegemea kwamba Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ aliye chini ya Brand ya Mkong’oto Jazz Band anaweza kufika mbali na kupata mafanikio makubwa kama aliyonayo leo. Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa pembeni ya ndinga mpya   aina Nissan Murano aliyoivuta ambayo thamani...

 

10 years ago

Vijimambo

Nay wa Mitego Ampa 'Ukweli Mchungu' Diamond


Baada ya hapo jana msanii Diamond kumpondea kiana Nay wa Mitego kuhusu kile kilicho sababisha Nay na mpenzi wake Siwema watemane kuwa ni kwasababu Nay hajui kupetipeti, Nay wa Mitego nae ameibuka na dongo hili, mara baadaya kubandika pichi hiyo hapo juu."Jamani eeh?!! Embu tuongee ukweli, ivi uyu ndugu yetu @diamondplatnumz Angekua na hali iyo apo kwny picha, Je!? Ange weza kua na huyo Mwanamke apo @zarithebosslady na unadhani uyu #Zari angemkubali? Kama c vijisenti na huu umaarufu alio...

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego na Diamond waingia tena studio kupika kitu!

Collabo yao, ‘Muziki Gani’ ilikuwa miongoni mwa ngoma zilizotamba zaidi miaka miwili iliyopita, hivyo ukiwaona wameingia tena studio, hakuna shaka kuwa hit nyingi ipo njia. Nay wa Mitego na Diamond Platnumz wameingia studio kwa mara nyingine kutengeneza wimbo pamoja. Nay amepost picha akiwa na hitmaker huyo ambaye hivi karibuni alikuwa vekesheni visiwani Zanzibar na mpenzi […]

 

10 years ago

Bongo5

Ni collabo na Diamond au na Mnigeria: Nay wa Mitego kuachia kazi mpya wiki ijayo

Rapper Nay wa Mitego, wiki ijayo anatarajia kuachia kazi yake mpya ambapo amesema ni kati ya collabo aliyofanya na Diamond Platnumz au na msanii wa Nigeria. Nay ameiambia Bongo5 kuwa, bado yupo kwenye upembuzi ili kujua ni kitu gani kitakuja kati ya kazi hizo. “Kuna uwezekano tukawa tunaachia wimbo mpya wiki ijayo,” amesema. “Ni kitu […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego,Diamond waingia studio kwa mara nyingine kufanya ngoma.

Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Diamond Platinumz hivi karibuni. Akizungumza na Clouds FM, Nay alisema kuwa ngoma hiyo ameifanya kwenye studio za Free Nation kwa producer Mr.Tee Touch na kwamba jina la ngoma hiyo atalisema siku ambayo atakayoitambulisha ngoma hiyo.

‘’Yaah nimefanya ngoma tena na Diamond Platinumz na nitaitambulisha hivi karibuni kikweli sijisifii ni bonge la ngoma,’’alisema Nay Wa Mitego.
Mastaa hao walishawahi kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani