Nay wa Mitego na Diamond waingia tena studio kupika kitu!
Collabo yao, ‘Muziki Gani’ ilikuwa miongoni mwa ngoma zilizotamba zaidi miaka miwili iliyopita, hivyo ukiwaona wameingia tena studio, hakuna shaka kuwa hit nyingi ipo njia. Nay wa Mitego na Diamond Platnumz wameingia studio kwa mara nyingine kutengeneza wimbo pamoja. Nay amepost picha akiwa na hitmaker huyo ambaye hivi karibuni alikuwa vekesheni visiwani Zanzibar na mpenzi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM14 Apr
Nay Wa Mitego,Diamond waingia studio kwa mara nyingine kufanya ngoma.
Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Diamond Platinumz hivi karibuni. Akizungumza na Clouds FM, Nay alisema kuwa ngoma hiyo ameifanya kwenye studio za Free Nation kwa producer Mr.Tee Touch na kwamba jina la ngoma hiyo atalisema siku ambayo atakayoitambulisha ngoma hiyo.
‘’Yaah nimefanya ngoma tena na Diamond Platinumz na nitaitambulisha hivi karibuni kikweli sijisifii ni bonge la ngoma,’’alisema Nay Wa Mitego.
Mastaa hao walishawahi kufanya...
10 years ago
Bongo514 Sep
Exclusive: Nay wa Mitego amzawadia studio mpya producer wake Mr T Touch inaitwa ‘Free Nation Production’
10 years ago
Bongo Movies25 Apr
Sio Siri tena: Nay wa Mitego, Shamsa Mke na Mume!
Mara baada ya kuelezwa kwamba wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi huku wenyewe wakidanganya wana ‘projekti’, hatimaye majirani wamefichua kuwa mwigizaji Shamsa Ford na mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay’, sasa wanaishi kama mke na mume.
Baada ya kutonywa ‘mchapo’ huo, gazeti la Risasi liliwadamkia nyumbani kwa Nay maeneo ya Kimara-Korogwe jijini Dar na kumkuta Shamsa akiwa na kanga moja.Mwanahabari wetu, baada ya kufika nyumbani hapo mishale ya asubuhi alikuwa bega kwa bega kuwafuatilia...
10 years ago
Bongo508 Sep
Exclusive Pics: Mchumba wa Nay wa Mitego, Siwema ni mjamzito tena!
10 years ago
VijimamboNay wa Mitego Ampa 'Ukweli Mchungu' Diamond
Baada ya hapo jana msanii Diamond kumpondea kiana Nay wa Mitego kuhusu kile kilicho sababisha Nay na mpenzi wake Siwema watemane kuwa ni kwasababu Nay hajui kupetipeti, Nay wa Mitego nae ameibuka na dongo hili, mara baadaya kubandika pichi hiyo hapo juu."Jamani eeh?!! Embu tuongee ukweli, ivi uyu ndugu yetu @diamondplatnumz Angekua na hali iyo apo kwny picha, Je!? Ange weza kua na huyo Mwanamke apo @zarithebosslady na unadhani uyu #Zari angemkubali? Kama c vijisenti na huu umaarufu alio...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dEiyJnCjtaM/default.jpg)
10 years ago
Bongo510 Mar
Ni collabo na Diamond au na Mnigeria: Nay wa Mitego kuachia kazi mpya wiki ijayo
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-SQuWqgvw1-s/VVPz_YpjpDI/AAAAAAADm1s/dwaJYqU0SnE/s72-c/pp.jpg)
HII HAPA MAPENZI PESA DIAMOND NA NAY WA MITEGO JITIRIRISHE NA WEWE KIROHO SAFI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SQuWqgvw1-s/VVPz_YpjpDI/AAAAAAADm1s/dwaJYqU0SnE/s640/pp.jpg)
9 years ago
Bongo514 Sep
Nay wa Mitego na Diamond wayapeleka mabishano yao ya muziki kwenye siasa, soma vijembe walivyotupiana