Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LAZIMA TUSOME ALAMA ZA NYAKATI,CHAMA KWANZA MTU BAADAE-JK

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

UKAWA: UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015 LAZIMA, KIKWETE ASIONGEZEWE MUDA, KURA YA MAONI BAADAE

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (wa pili kutoka kushoto), Mwenyekiti wa Chadema, Mhe Freeman Aikael Mbowe (wa pili kutoka kulia) na Katibu Mkuu wa Chama cha Chadema, Dk Willbroad Slaa (kulia). VYAMA vinavyounda Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) leo vimetoa msimamo wao juu ya njama za...

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA KWANZA, USALAMA BAADAE....

BIASHARA KWANZA, USALAMA BAADAE: Kauli hiyo ndio inayoonekana kwa vijana hawa wanaojihusisha na biashara ndogo ndogo ya kuuza machungwa eneo la Segera, Mkoani Tanga. maana wakiona basi limesimama mahala hapo, basi hawaangalii kabisa usalama wao, bali wanavuka tu kulifata hata kama kuna magari mengine yanapita.

 

9 years ago

Bongo Movies

JB:Ubora wa Filamu Kwanza,Pesa Baadae

Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Steven ‘JB’ amesema anachoangalia kwenye kazi yake ni kutengeneza filamu zenye ubora kuliko pesa atakayoipata kwenye mauzo ya filamu yenyewe.

jb06

Jacob Steven ‘JB’

‘’Wakati mwingine nakuwa kama kichaa nikitengeneza movie zangu siangalii namna ambavyo nitapata faida kubwa,naangalia jinsi ambavyo naweza kutengeneza kitu kizuri,naaamini katika maisha kuacha historia bora kuliko kitu chochote,hadi sasa nimeshatengeneza zaidi ya filamu 37 kutoka kwenye kampuni...

 

10 years ago

Raia Mwema

‘chama kimoja, vyama vingi, chama cha mtu mmoja’

NINAANDIKA makala hii nikiwa na masikitiko makubwa mno.

Evarist Chahali

 

11 years ago

Mwananchi

Chama cha Riadha lazima kiajiri kocha

Riadha ni mchezo ambao umewahi kuiletea nchi medali nyingi kwenye michezo mbalimbali ya kimataifa, ikiwamo Michezo ya Jumuiya ya Madola, Olimpiki na ya Afrika. Mchezo mwingine uliowahi kuleta medali ni ngumi.

 

9 years ago

GPL

KIPIMO CHAONESHA MAGUFULI ALAMA 6, LOWASSA ALAMA 9

Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. WAKATI kampeni za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikizidi kupamba moto, vipimo vinaonesha mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ana alama 6 na wa Ukawa, Edward Lowassa ana alama 9 katika mambo mbalimbali ya kikazi, Uwazi linachambua. Uwazi lilianza kwa kuchimba kwenye upande wa mambo yaliyozua maswali mengi ambapo kipimo kinaonesha...

 

9 years ago

Raia Mwema

Je Watanzania Wamechagua Mtu au Chama?

UCHAGUZI Mkuu 2015 umekwisha na Watanzania wamemchagua Dk.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

BBCSwahili

Taya ya mtu wa kwanza yagunduliwa

Wanasayansi wamegundua taya wanaodai ni ile ya mtu wa kwanza duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani