TAIYA ADAI KUPONZWA NA FILAMU ZA USALITI
![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWB-oCf1XStl4-YAt6EDDNeznrMpminj0LGURy5fZqNFS5Yy9h28B8*TBe88q9bdMIRRYhUrBoKJl26GWck4TyL*/taiya1.jpg?width=650)
Msanii wa filamu na muziki anayekuja kwa kasi, Taiya Odero. IMELDA MTEMA MSANII wa filamu na muziki anayekuja kwa kasi, Taiya Odero amedai kuponzwa na filamu za usaliti anazocheza kwa kuwa wanaume wengi wanamuogopa kumtongoza wakimuhofia kuwasaliti katika mapenzi. Akizungumza na Amani, Taiya alisema kuwa anapokuwa katika uhusiano na mtu huwa inampa wakati mgumu sana kwa kuwa mtu huyo anakuwa na hofu ya kusalitiwa kila mara....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rpTO7xq7SsHbES4RtwloZWM3QLO75p5Q0WDJy-GLyyAqLT-FCXt7wd0xrX5XbhCiw*GwdpDm9oT638n0-CB91ADchd6xw*ou/lv.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-10
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcnN7G-MbQdfj3FxH6s*eu6B2moJba6zvdL7EhH-boN2ByIqDacH8ZGZ05iBUyw2Y2imeRobcMaDXdUnkDyWsZAm/xlov.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-7
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4dzdSaWEyXbHK2pClmRvlE3-plFQk4rM*xKthfjNJPJopHn14cY-KB0kKg6uvK4LQVLKy41iC9Hv4cHwo1-ftoZ/unfaithfulblackwoman.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N7R2o2Q*R1r*OAaq1FFWDxhwSkZKnDDIs8u33ltmg799xikQ5RWUjL81GriNvUClBf8dG17sVaTNGVXnDzAaku9/usaliti.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-5
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzoLhYSw2*tC1ZOC66RE1IX9h1GwHXT*Kvkh5*2j1034Y-GOS9xWSJ36p7RSZWgFDr-IEChFZIEbnzRFbXVC5k8E/usaliti.jpg?width=650)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-4
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcowyqOY2lJfrVuw4wRS-jceQtFtXTVqfw80APz*07Rs9i*gC*8tFe5MaFbaFa-xVrI6rFpwGrCDO8-u3osaBoSY/usaliti.jpg?width=640)
USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-3
9 years ago
Bongo523 Oct
Dr Cheni adai tasnia ya filamu Tanzania inakufa
9 years ago
Bongo528 Dec
JB adai anajali heshima kuliko pesa kwenye filamu
![JB](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/JB-300x194.jpg)
Muigizaji wa ‘Chungu cha Tatu’ Jacob ‘JB’ Stephen amesema yupo tayari kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 200 kwenye filamu bila kujali hasara ili kujenga heshima yake katika tasnia ya filamu.
JB amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa, ameamua kuwaridhisha mashabiki wake wa filamu kwa kufanya kazi za gharama za juu na zenye ubora.
“Mimi nimetengeneza sinema zaidi ya 37 mpaka sasa hivi kupitia kampuni yangu ya Jerusalem na pesa zipo kwenye akaunti yangu lakini kumbukumbu yangu kubwa...
9 years ago
Bongo508 Oct
Dr Cheni adai soko la filamu limeyumba kutokana na tatizo la umeme!