Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAIYA ADAI KUPONZWA NA FILAMU ZA USALITI

Msanii wa filamu na muziki anayekuja kwa kasi, Taiya Odero. IMELDA MTEMA MSANII wa filamu na muziki anayekuja kwa kasi, Taiya Odero amedai kuponzwa na filamu za usaliti anazocheza kwa kuwa wanaume wengi wanamuogopa kumtongoza wakimuhofia kuwasaliti katika mapenzi. Akizungumza na Amani, Taiya alisema kuwa anapokuwa katika uhusiano na mtu huwa inampa wakati mgumu sana kwa kuwa mtu huyo anakuwa na hofu ya kusalitiwa kila mara....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-10

“Nilikwenda kufungua mlango, kumbe alikuwa mume wangu. Kwa kiasi fulani nilishtuka, maana kwa muda huo sikumtarajia kabisa. Hata yeye aliutambua mshtuko wangu, akaniuliza mbona nimeshtuka? Kabla sijajibu akaniuliza nimeanza lini tabia ya kufunga mlango mkubwa mchana? “Nilimjibu mshtuko wangu ni kwa sababu sikumtarajia muda huo nyumbani. Kuhusu mlango nilimwambia niliufunga ili majirani waone hakuna mtu. Kama ambavyo...

 

11 years ago

GPL

USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-7

Mkasa wa Lauryn (si jina lake halisi), ni somo kwako namna mtu anavyoweza kusaliti ndoa. Mara nyingi tego la usaliti huanza taratibu kama utani, ukiliruhusu hutawala na kukutesa kihisia, usipoyashinda hayo mateso hujikuta unaangukia dhambini. Lauryn aliisababishia ndoa yake misukosuko mingi. Kosa kubwa alilolifanya ni kutoka kimapenzi na kijana Paul aliyekuwa mpangaji mwenzake. Katika mfululizo wa simulizi yake, anaelezea jinsi...

 

11 years ago

GPL

USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-6

Kuna hoja nzito kimantiki katika mada hii. Uchambuzi na ufafanuzi wa kina, vilishajitosheleza lakini nikaona kuna maana kubwa katika kufundisha kwa mifano. Msomaji wangu Lauryn ameamua kuiweka wazi stori yake, jinsi alivyotoka kimapenzi nje ya ndoa na kijana Paul ambaye alikuwa mpangaji mwenzake. Alishaeleza mengi huko nyuma, lakini wiki iliyopita aliishia hapa: “Sisemi uongo, siku hiyo ndiyo nilikuwa napokea kwa mara ya...

 

11 years ago

GPL

USALITI HAUNA NGUVU SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-5

Makala yetu inajieleza kwa kichwa chake hapo juu. Nilishafafanua kinagaubaga jinsi ambavyo usaliti usivyo na nguvu, isipokuwa akili iliyokosa malengo ndiyo inaweza kutenda dhambi hiyo. Katika kufundisha kwa mifano, nakuletea mfululizo wa mkasa wa Lauryn ambaye ni mke wa mtu, alipojikuta anasaliti ndoa yake kwa kutoka kimapenzi na kijana Paul ambaye ni mpangaji mwenzake. Nikukumbushe alipokomea hapa; “Nilipotoka chumbani kwa...

 

11 years ago

GPL

USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-4

KARIBU msomaji wangu, nakuomba tuendelee kuusoma mkasa wa Lauryn ambaye alijikuta akiisaliti ndoa yake kwa sababu ya mazoea yasiyofaa na kijana mpangaji mwenzake anayeitwa Paul. Wiki iliyopita aliishia hapa: “Ile nageuka tu kukimbia, sijui kama ni makusudi au bahati mbaya, Paul alinivuta ile khanga moja niliyovaa. Lilikuwa ni tukio baya zaidi katika maisha yangu, maana ukweli ni kwamba Paul ni mdogo kwangu kwa umri,...

 

11 years ago

GPL

USALITI HAUNA NGUVU, SHETANI WA USALITI NI AKILI ILIYOKOSA MALENGO-3

Tuendelee pale kwenye simulizi ya msomaji wangu Lauryn Joe na kisa chake cha kutoka kimapenzi na kijana mpangaji mwenzake Paul. Stori yake inafundisha jinsi nyoyo iliyokosa malengo inavyoweza kutenda usaliti. Amini kwamba usaliti hauna nguvu. Lauryn hakuwahi kuvutiwa na Paul. Yeye ni mke wa mtu, kwa hiyo siku zote alijihesabu katika kundi la wanawake waaminifu sana katika ndoa. Awali alimchukulia Paul kama shemeji yake kwa sababu...

 

9 years ago

Bongo5

Dr Cheni adai tasnia ya filamu Tanzania inakufa

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Dr Cheni amesema tasnia ya filamu inakufa kama uuzaji wa albamu za wasanii wa Bongo Flava ulivyokufa. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Dr Cheni alisema kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo hali inazidi kuwa mbaya kwa wasanii wa filamu. “Unajua kwa hali tuliyo nayo kwa sasa ni mbaya sana. Kama tukiendelea […]

 

9 years ago

Bongo5

JB adai anajali heshima kuliko pesa kwenye filamu

JB

Muigizaji wa ‘Chungu cha Tatu’ Jacob ‘JB’ Stephen amesema yupo tayari kuwekeza zaidi ya shilingi milioni 200 kwenye filamu bila kujali hasara ili kujenga heshima yake katika tasnia ya filamu.

JB

JB amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa, ameamua kuwaridhisha mashabiki wake wa filamu kwa kufanya kazi za gharama za juu na zenye ubora.

“Mimi nimetengeneza sinema zaidi ya 37 mpaka sasa hivi kupitia kampuni yangu ya Jerusalem na pesa zipo kwenye akaunti yangu lakini kumbukumbu yangu kubwa...

 

9 years ago

Bongo5

Dr Cheni adai soko la filamu limeyumba kutokana na tatizo la umeme!

Msanii wa filamu, Dr Cheni amesema kuwa biashara ya filamu kwa sasa imeshuka kutokana na tatizo la umeme linaloendelea. Dr Cheni ameambia Bongo5 kuwa mawakala wanalalamika kushindwa kuuza kazi za filamu kama walivyotarajia kutokana na tatizo la umeme. “Soko la filamu sasa hivi linasumbua kutokana na haya matatizo ya umeme,” amesema Cheni. “Umeme ukisumbua na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani