Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatuoni tatizo kwenye mjadala wa gesi nchini

JUZI na jana kulikuwa na kongamano kubwa kati ya viongozi wa dini na Wizara ya Nishati na Madini kuhusu maliasili ya gesi asilia, mafuta na madini kwa amani na maendeleo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY YAOMBA KUWEPO MJADALA WA WAZI KUJADILI TATIZO LA ULEVI NCHINI

 Askofu Charles Gadi wa Huduma ya Good News for All Ministry   Askofu Charles Gadi wa Huduma ya Good News for All Ministry (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kuongezeka kwa joto duniani na athari zake pamoja na tatizo la ulevi nchini ambapo kanisa hilo limeshauri kuwepo na mjadala wa wazi kujadili jambo hilo. Kutoka kushoto ni Mchungaji, Martin Ndaki na Katibu wa huduma hiyo, Palemo Massawe. Mchungaji Fabian Msimbe akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni...

 

10 years ago

GPL

HUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY YAOMBA KUWEPO MJADALA WA WAZI KUJADILI TATIZO LA ULEVI NCHINI‏

Askofu Charles Gadi wa Huduma ya Good News for All Ministry    Askofu Charles Gadi wa Huduma ya Good News for All Ministry (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu kuongezeka kwa joto duniani na athari zake pamoja na tatizo la ulevi nchini ambapo kanisa hilo limeshauri kuwepo na mjadala wa wazi kujadili jambo hilo. Kutoka kushoto ni Mchungaji, Martin Ndaki na Katibu wa huduma hiyo, Palemo...

 

11 years ago

Mwananchi

MJADALA: Je, vijana nchini waache kushiriki kwenye siasa?

>Mfumo wa vyama vingi vya siasa ni hali ya kuwa na chama zaidi ya kimoja katika nchi moja. Madhumuni ya mfumo huu ni kupanua uwanja wa demokrasia kwa wananchi na kuleta ushindani wa kisiasa unaosaidia ukuaji wa demokrasia, uwajibikaji na kuleta maendeleo kwa nchi husika, ukiruhusu kuwapo chama tawala au muungano wa vyama hivyo pamoja na upinzani.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete afunga mjadala wa gesi

>Rais Jakaya Kikwete amefunga mjadala wa wafanyabiashara wazawa wanaotaka kupewa kipaumbele katika uwekezaji wa sekta ya gesi akisema Shirika la Maendeleo la Petroli(TPDC) linajitosheleza kuwasaidia Watanzania wanufaike na rasilimali hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjadala wa gesi, umetufumbua macho

Nimekuwa nikifuatilia mjadala wa kuchimba gesi asilia iliyogunduliwa sehemu mbalimbali nchini Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: JK hawezi kufunga mjadala wa gesi

KATIKA mkutano wa Ndala, Nzega mkoani Tabora wananchi walitoa sauti za kulalamikia ongezeko la bei ya umeme huku wakilaani madhara ya Operesheni Tokomeza Ujangili, ambapo pia walitaka kujua kuhusu matumizi...

 

10 years ago

Dewji Blog

NHC yakabiliana na tatizo la moyo nchini kwa kusaidia matibabu ya watoto 53 nchini India

unnamed

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Desemba 26, 2014 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam ya kuwaaga jumla ya watoto 55 wenye matatizo ya ugonjwa wa Moyo kati ya 104, waliofadhiliwa na Lions Club ya jijini, kwa ajili ya kwenda kutibiwa nchini India. Watoto hao 55 wa awamu ya kwanza walionza kuondoka nchini jana.

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limechangia kiasi cha takribani shilingi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu limechepuka kwenye mjadala — 2

BUNGE Maalumu la Katiba lipo mapumzikoni. Kabla ya kwenda katika mapumziko haya, lilitakiwa kujadili rasimu ya katiba na walijipangia kujadili sura ya pili na ile ya sita ya rasimu husika....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba limechepuka kwenye mjadala

WALAU sasa tutapumzika. Watu wengi wenye akili timamu walikuwa wakikerwa na mijadala ya Bunge Maalumu la Katiba. Ni mijadala iliyokuwa imechepuka na kujadili kisichopaswa kujadiliwa. Sasa wameenda kupumzika, labda watatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani