Mnyika: JK hawezi kufunga mjadala wa gesi
KATIKA mkutano wa Ndala, Nzega mkoani Tabora wananchi walitoa sauti za kulalamikia ongezeko la bei ya umeme huku wakilaani madhara ya Operesheni Tokomeza Ujangili, ambapo pia walitaka kujua kuhusu matumizi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Mjadala wa gesi, umetufumbua macho
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Kikwete afunga mjadala wa gesi
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Hatuoni tatizo kwenye mjadala wa gesi nchini
JUZI na jana kulikuwa na kongamano kubwa kati ya viongozi wa dini na Wizara ya Nishati na Madini kuhusu maliasili ya gesi asilia, mafuta na madini kwa amani na maendeleo...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
AY: Diamond hawezi kunifunika
NYOTA wa muziki wa Bongo fleva nchini, Ambwene Yesaya ‘AY’, amesema msanii mwenzake, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’, hawezi kuathiri muziki wake kwani kila mtu ana malengo yake katika fani hiyo....
10 years ago
Habarileo11 Oct
DC ajisalimisha, asema hawezi kugoma
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo amejisalimisha kwenye Baraza la Maadili kwa Viongozi wa Umma jana alfajiri jijini Dar es Salaam baada ya Polisi juzi kuamriwa kumkamata. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam mbele ya Baraza la Maadili kwa Watumishi wa Umma, lililokuwa limekaa kusikiliza mashauri mbalimbali ya viongozi wa umma yaliyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili kwa Viongozi wa Umma, Gambo alisema taarifa za mwito huo hakuzipata.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DQzFsIcQAW4/VJKukbAVbiI/AAAAAAAAU_0/VHX_M6QInfM/s72-c/1.jpg)
TIBAIJUKA ASEMA HAWEZI KUJIUZULU
![](http://2.bp.blogspot.com/-DQzFsIcQAW4/VJKukbAVbiI/AAAAAAAAU_0/VHX_M6QInfM/s1600/1.jpg)
.
Dar es Salaam,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka,amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia sakata la Akaunti ya Escrow,huku akisema haoni sababu ya yeye kujiuzulu kutokana na kudaiwa kuhusika katika sakata hilo.
Alisema hawezi kufikia uamuzi wa kujiuzulu kwa kuwa hana kosa kwani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk*l598Lp0sfNDra*GH7-TdQtvFYNXZI89G1HKDn0AOiQf2*evw5qRmmWjrWEPSnC4echhksYDlPswdyxGLR7*q/JOHARI.jpg)
JOHARI: RAY HAWEZI KUMUOA CHUCHU