Tanesco kununua nguzo Afrika Kusini kwazua maswali nchini
Rais John Magufuli ameombwa kuzuia uagizaji wa nguzo za umeme kutoka Afrika Kusini kunakofanywa na Shirika la Umeme (Tanesco) kupitia wazabuni ili kunusuru mamilioni ya fedha za kigeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VBhu39Zvo9c/Vkw7Dv2ODCI/AAAAAAAAJM0/uPeUCkHXWkA/s72-c/Bango%2Bla%2BHotel.jpg)
Kujengwa kwenye hifadhi ya Bahari Golden Tulip kwazua maswali ya sheria ya mita 60
Kumekuwa na sheria na kanuni mbalimbali zinazoundwa, ingawa wakati mwingine hushindwa kutekelezeka kwa wakati. Ukifika katika hoteli ya Golden Tulip utakuta jinsi eneo hilo linavyozidi kujengwa na kuendelezwa kama lilivyokutwa na mpiga picha wetu. Kujengwa kwa eneo hili lililokuwa pembezoni mwa Bahari ya Hindi ni kinyume cha sheria ya Hifadhi ya Bahari. Tumeshuhudia maeneo mengi yakivunjwa kwa nyumba zao baada ya kubainika yamejengwa katika hifadhi ya bahari. Haijafahamikaa mara moja kama...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA AHUTUBIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS NA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA (OAFLA) NCHINI AFRIKA KUSINI
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Serikali yaikemea Tanesco nguzo za nje
Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limetakiwa kuacha kasumba ya kutumia mabilioni ya fedha kununua nguzo za umeme nje ya nchi, badala yake linunue ndani ya nchi kwa kampuni za kizalendo ambazo zinazalisha nguzo imara.
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Kampuni tatu za Tanzania kuiuzia nguzo Tanesco
Kampuni tatu za Tanzania na moja ya Afrika Kusini zimeshinda zabuni ya kusambaza nguzo za umeme iliyotangazwa na Shirika la Umeme nchini (Tanesco).
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vGo4KSlLxtY/U84oB0VxGDI/AAAAAAAF4q8/bC9DqQK8gKM/s72-c/mafunzo+1.jpg)
WAHANDISI TANESCO WAFUNDWA UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Wahandisi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) wameanza kunolewa katika kutambua nguzo bora za kusambazia umeme majumbani katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Mafunzo hayo ya wiki mbili yanayofanyika mkoani Iringa kujumuisha wahandisi wakuu wa umeme, maafisa mipango na maafisa usalama wa TANESCO yana lengo la kuwawezesha wataalamu hawa kuwa na weledi wa hali ya juu katika kutambua nguzo zenye sifa na...
Mafunzo hayo ya wiki mbili yanayofanyika mkoani Iringa kujumuisha wahandisi wakuu wa umeme, maafisa mipango na maafisa usalama wa TANESCO yana lengo la kuwawezesha wataalamu hawa kuwa na weledi wa hali ya juu katika kutambua nguzo zenye sifa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
AOMBWA AENDELEE KUSIMAMIA MAZUNGUMZO YA AMANI KATI YA VIKUNDI VINAVYOSIGANA VYA NCHI HIYO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s72-c/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-tUPS2pJ-yYA/VacKlGNYjtI/AAAAAAAASNg/3n8qzK9mv3U/s640/E86A6155%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_SQu7c010ss/VacKv6BcWRI/AAAAAAAASOI/XjXfbY2I6bA/s640/E86A6182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4G3w7bUcYnY/VacKzudlBMI/AAAAAAAASOY/eyi3ovNTFmg/s640/E86A6203%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RyQ18hEd_XU/VacKBC0LT7I/AAAAAAAASMA/IWhEgOCpm2U/s640/E86A6047%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Sep
TAARIFA YA MSIBA WA MTANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI
Ni matumaini yangu kuwa nyote muwazima na sie hatujambo huku Bondeni Sauzi.Maudhui ya barua hii ni kukufahamisheni kuwa kuna Mtanzania kwa jina Shukuru Goyagoya kafariki tarehe 16th mwezi huu katika Hospitali ya Baragwana Jo'burg.Alikua Kalazwa ICU takriban mwezi mmoja.
Hapa Sauzi alikuwa akiitwa kwa jina la umaarufu Jastice Mliambe Manesi kazaliwa mwaka 1970.
Maelezo niliyoweza kupata, Mama yake mzazi anaitwa Bi Ziada Musa Kitima anaishi Mabibo CCM . Naomba msaada wenu wa kutangaza katika...
Hapa Sauzi alikuwa akiitwa kwa jina la umaarufu Jastice Mliambe Manesi kazaliwa mwaka 1970.
Maelezo niliyoweza kupata, Mama yake mzazi anaitwa Bi Ziada Musa Kitima anaishi Mabibo CCM . Naomba msaada wenu wa kutangaza katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania