WAHANDISI TANESCO WAFUNDWA UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
![](http://2.bp.blogspot.com/-vGo4KSlLxtY/U84oB0VxGDI/AAAAAAAF4q8/bC9DqQK8gKM/s72-c/mafunzo+1.jpg)
Wahandisi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) wameanza kunolewa katika kutambua nguzo bora za kusambazia umeme majumbani katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Mafunzo hayo ya wiki mbili yanayofanyika mkoani Iringa kujumuisha wahandisi wakuu wa umeme, maafisa mipango na maafisa usalama wa TANESCO yana lengo la kuwawezesha wataalamu hawa kuwa na weledi wa hali ya juu katika kutambua nguzo zenye sifa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mZhfCp-JlLc/U9CxiXlSt_I/AAAAAAAF5dA/MOCSU7dCycQ/s72-c/Ukaguzi+1.jpg)
WAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Ziara ya wahandisi hao wa TANESCO inalenga katika kuwawezesha katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Wahandisi hao wamepata fursa ya kutembela kiwanda cha Sao...
10 years ago
MichuziMAFUNDI SANIFU (TEMESA) WAFUNDWA KUHUSU USIMAMIZI NA UKAGUZI WA MAZINGIRA, MOROGORO
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Serikali yaikemea Tanesco nguzo za nje
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Kampuni tatu za Tanzania kuiuzia nguzo Tanesco
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Tanesco kununua nguzo Afrika Kusini kwazua maswali nchini
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Hatari: Tanesco waamua kuchukua uamuzi wa kufunga nyaya juu ya mti baada ya nguzo kuvunjika
Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi.
Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti.
Hizi ni waya zilizopita chini kabisa katika Geti la mtu na ndani ya miti.
Nguzo ya umeme ya TANESCO ikiwa imekatika katika eneo la Jirani na Daraja la Mlalakuwa ambapo ipo mpaka sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi ipo eneo hilo.
Hii ndio Njia Mbadala waliyo iona TANESCO kutumia kwa kufunga nyaya hizo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s72-c/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
TANESCO YAAGIZWA KUIMARISHA KIKOSI CHA UKAGUZI WA WATUMIAJI WA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s400/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud alipokuwa akizungumzia ukaguzi wa wezi wa umeme nchini.
“Umeme unaotumika kwa sasa unazalishwa kwa kiasi kikubwa na gesi asilia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AFKTjSb5zWE/VekU94gtIgI/AAAAAAAH2Ok/eVkcYaNowWQ/s72-c/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
Serikali kuendelea kuwatumia wahandisi wazalendo waliosajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB)
9 years ago
Habarileo16 Dec
Tucta wafundwa
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Afrika (OATUU), Mezholid Arezki amehimiza Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania(Tucta) kushirikiana kuhakikisha wanaboresha maslahi ya wafanyakazi nchini.