TANESCO YAAGIZWA KUIMARISHA KIKOSI CHA UKAGUZI WA WATUMIAJI WA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s72-c/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
Na Jovina Bujulu- MaelezoDAR ES SALAAM 18/11/2015Mabadiliko ya Tabia Nchi, uharibifu wa vyanzo vya maji katika mito mbalimbali na uchepushaji wa maji kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji ni chanzo cha kukauka kwa mabwawa ya maji yanayotumika katika kuzalisha umeme.
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud alipokuwa akizungumzia ukaguzi wa wezi wa umeme nchini.
“Umeme unaotumika kwa sasa unazalishwa kwa kiasi kikubwa na gesi asilia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV19 Nov
Wizara ya Nishati kuimarisha kitengo cha Ukaguzi Udhibiti Wizi Wa Umeme
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuimarisha Kitengo chake cha Ukaguzi wa wateja wa Umeme ili kubaini wateja wasio waaminifu wanaoiba umeme pamoja na kuwachukulia hatua kali za kisheria.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wizara hiyo kubaini kuwa kuna upotezu wa Umeme wa asilimia 19 kwa sababu mbalimbali zikiwemo za uibaji umeme.
Wizara ya Nishati imesema kutokana na tatizo hilo la upotevu wa umeme linasababisha kurudisha nyuma maendeleo ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
TANESCO Kuimarisha Hali ya Upatikanaji wa Umeme Mkoani Kagera
Dkt KALEMANI ametoa kauli hiyo Mkoani Kagera Wakati wa Ziara yake, ambapo amesema Umeme huo Utaunganisha Mkoa huo moja kwa moja na Umeme wa Gridi ya Taifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HpakBUGIVWo/XoHrR8o86hI/AAAAAAALli0/my3cAnGoFXk0f5f-6NltoP5YrZbwnQQHQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMISHNA CP SABAS AKUTANA NA KIKOSI MAALUM CHA KUIMARISHA ULINZI, USALAMA KATIKA MPAKA WA TANZANIA NA MSUMBIJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-HpakBUGIVWo/XoHrR8o86hI/AAAAAAALli0/my3cAnGoFXk0f5f-6NltoP5YrZbwnQQHQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tvRPH4TSjfs/XoHrTdNGl7I/AAAAAAALli8/E8TUCymgVIcrs-dIuUfJFf8oqep3lDPYwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Habarileo11 Aug
Tanesco yatambulisha kifaa cha umeme
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme (Tanesco) mkoani hapa limetambulisha kifaa kipya ambacho ni mbadala wa kutandaza nyaya za umeme kwa maandalizi ya kupata umeme wa shirika hilo kwa wafugaji wa kuku pamoja na wananchi wanaojenga chumba kimoja ama viwili.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mZhfCp-JlLc/U9CxiXlSt_I/AAAAAAAF5dA/MOCSU7dCycQ/s72-c/Ukaguzi+1.jpg)
WAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Ziara ya wahandisi hao wa TANESCO inalenga katika kuwawezesha katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Wahandisi hao wamepata fursa ya kutembela kiwanda cha Sao...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s72-c/_MG_1131.jpg)
TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s640/_MG_1131.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GPMVNxH70Vc/VbiRMMNFGLI/AAAAAAAHsb4/0leXLRBS5cE/s1600/_MG_1137.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vGo4KSlLxtY/U84oB0VxGDI/AAAAAAAF4q8/bC9DqQK8gKM/s72-c/mafunzo+1.jpg)
WAHANDISI TANESCO WAFUNDWA UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Mafunzo hayo ya wiki mbili yanayofanyika mkoani Iringa kujumuisha wahandisi wakuu wa umeme, maafisa mipango na maafisa usalama wa TANESCO yana lengo la kuwawezesha wataalamu hawa kuwa na weledi wa hali ya juu katika kutambua nguzo zenye sifa na...