Wizara ya Nishati kuimarisha kitengo cha Ukaguzi Udhibiti Wizi Wa Umeme
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuimarisha Kitengo chake cha Ukaguzi wa wateja wa Umeme ili kubaini wateja wasio waaminifu wanaoiba umeme pamoja na kuwachukulia hatua kali za kisheria.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wizara hiyo kubaini kuwa kuna upotezu wa Umeme wa asilimia 19 kwa sababu mbalimbali zikiwemo za uibaji umeme.
Wizara ya Nishati imesema kutokana na tatizo hilo la upotevu wa umeme linasababisha kurudisha nyuma maendeleo ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s72-c/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
TANESCO YAAGIZWA KUIMARISHA KIKOSI CHA UKAGUZI WA WATUMIAJI WA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s400/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud alipokuwa akizungumzia ukaguzi wa wezi wa umeme nchini.
“Umeme unaotumika kwa sasa unazalishwa kwa kiasi kikubwa na gesi asilia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
9 years ago
MichuziSerikali yaendelea kuimarisha ukaguzi wa Ndani Wizara na Taasisi za Serikali
10 years ago
Vijimambo06 Mar
Wizara za Kenya, Zambia, Uganda na Rwanda zafanya mkutano wa kuimarisha sekta ya nishati na miundo msingi katika kanda
10 years ago
MichuziVIJIJI 10 VYANUFAIKA NA UMEME JUA KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s72-c/unnamed+(11).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI APOKEA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uxO7FD_O4cg/UwNZxxwF44I/AAAAAAAFNzU/kwfQPBPWDR0/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Michuzi01 Aug
Mkurugenzi wa Idara ya Habari atembelea Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
Vijimambo17 Feb
ZANZIBAR | CHINA YAISAIDIA WIZARA YA AFYA VIFAA KWA AJILI YA KITENGO CHA MATIBABU YA MACHO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZIMMOJA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/chi1.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/chi2.jpg)