KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI APOKEA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VqO3kgZXrzc/UwNZxmclvdI/AAAAAAAFNzM/bLI5B7qHpQI/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. Eliachim Maswi (Kushoto) akipata maelezo mafupi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Bw. Felchesmi Mramba wakati wa Halfa ya kupokea mitambo miwili ya kuzalisha umeme yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 183 itakayokwenda kufungwa Kinyerezi ambapo mitambo hiyo itaanza kufanya kazi mwezi wa kumi mwaka huu.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 May
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Maswi asafishwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Ndg. Eliakim Maswi.
PRESS RELEASE – MASWI.doc
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Ataka kauli za “njoo kesho” zikome
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n9yvc5iikhk/VkRef5L8scI/AAAAAAAIFaU/9ioazoxntZc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsbGWUE5i8k/VkRef35fTCI/AAAAAAAIFaQ/9qWmmq28q0o/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9lqJEtlw9o/VnQeGWgg4FI/AAAAAAAINRM/f3tyDe7szOg/s72-c/IMG_8683.jpg)
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MITAMBO YA GESI YA TEGETA JIJINI DAR.
Na kukagua mitambo hiyo leo na kubaini kuwa umeme uniti moja inatengenezwa kwa gharama ya shilingi 90 na kuuzwa kwa wananchi kwa shilingi 180 ikiwa ni kiwango kikubwa kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Om37WCvrOe55aAz070KDudDcCnTcuk4b0XUeJMYrQYlzLiZ6sQNk8FVaIZbIJpf6degLuKLMVJRyiPOxTl9AQFK/breakingnews.gif)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI, ELIAKIM MASWI ASIMAMISHWA KAZI KWA MUDA
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1
9 years ago
MichuziZIARA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KWENYE KITUO CHA KUZALISHA UMEME KWA NGUVU YA MAJI, MTERA
Akielezea hali halisi aliyoiona kituoni hapo, Profesa Muhongo alisema kwa wakati huu kituo hicho cha Mtera hakizalishi umeme wa kiasi chochote huku akitaja sababu kuwa ni upungufu wa maji uliosababishwa na matumizi mabaya ya maji ya Bwawa hilo.
Profesa Muhongo alisema njia bora ya utatuzi wa upungufu wa maji kwenye bwawa hilo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-F49qdyK3cuI/VJm2rSNbabI/AAAAAAAAOnw/iruvh8VJsII/s72-c/DSC_3070.jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KAMA ANGELIJUA KESHO YAKE ANGESIMAMISHWA KAZI SIDHANI KAMA ANGEKUWEMO KWENYE HOTUBA YA JK
![](http://4.bp.blogspot.com/-F49qdyK3cuI/VJm2rSNbabI/AAAAAAAAOnw/iruvh8VJsII/s640/DSC_3070.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m7xcLI9M1a0/VJm2tII2NeI/AAAAAAAAOn4/AAFUCZ-rSho/s640/DSC_3069.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7bRn8dqEhWM/VJm22qu7xTI/AAAAAAAAOoA/F2WU-EOqlwk/s640/DSC_3827.jpg)